-
Mathayo 11:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
19 Mwana wa binadamu alikuja akiwa anakula na kunywa, na bado watu husema, ‘Tazama! Mtu aliye mlafi na mwenye tabia ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi.’ Hata hivyo, hekima huthibitishwa kuwa yenye uadilifu kwa kazi zayo.”
-