-
Luka 22:37Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
37 Kwa maana nawaambia nyinyi kwamba lazima hili ambalo limeandikwa litimizwe katika mimi, yaani, ‘Naye alihesabiwa pamoja na waasi-sheria.’ Kwa maana kile kinihusucho mimi kinakuwa na utimizo.”
-