37 Kwa maana ninawaambia mambo yaliyoandikwa kunihusu yatatimia, yaani, ‘Naye alihesabiwa pamoja na waasi sheria.’+ Kwa maana hilo linatimia kunihusu.”+
37 Kwa maana nawaambia ninyi kwamba lazima hili ambalo limeandikwa litimizwe kwangu, yaani, ‘Naye alihesabiwa pamoja na waasi-sheria.’+ Kwa maana kile kinachonihusu kinatimia.”+