Ufunuo 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake. Na kitu fulani kama mlima+ mkubwa unaowaka moto kikatupwa ndani ya bahari.+ Na sehemu ya tatu ya bahari ikawa damu;+
8 Na malaika wa pili akaipiga tarumbeta yake. Na kitu fulani kama mlima+ mkubwa unaowaka moto kikatupwa ndani ya bahari.+ Na sehemu ya tatu ya bahari ikawa damu;+