Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hii ndiyo historia ya Yakobo.

      Yosefu,+ alipokuwa na umri wa miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo pamoja na ndugu zake kati ya kundi,+ na, kwa kuwa alikuwa mvulana tu, alikuwa pamoja na wana wa Bilha+ na wana wa Zilpa,+ wake za baba yake. Basi Yosefu akamletea baba yake habari mbaya juu yao.+

  • 1 Samweli 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hapana,+ wanangu, kwa sababu habari ninazosikia si nzuri, ambazo watu wa Yehova wanaeneza.+

  • Esta 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwishowe wakapata maandishi ya habari ambazo Mordekai alikuwa ametoa+ juu ya Bigthana na Tereshi, maofisa wawili+ wa makao ya mfalme, watunza-milango, waliokuwa wametafuta kunyoosha mkono juu ya Mfalme Ahasuero.

  • Methali 29:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Anayeshirikiana na mwizi anachukia nafsi yake mwenyewe.+ Huenda akasikia kiapo chenye laana, lakini asitoe habari yoyote.+

  • 1 Wakorintho 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana, ndugu zangu, wale wa nyumba ya Kloe walinifunulia+ juu yenu kwamba kuna magombano kati yenu.

  • 1 Wakorintho 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati+ katikati yenu, tena uasherati wa namna ambayo hata haimo kati ya mataifa, kwamba mwanamume fulani ana mke wa baba yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki