Mambo ya Walawi 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake. Methali 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wale wanaoiacha sheria humsifu mwovu,+ lakini wale wanaoishika sheria hushindana nao.+
5 “‘Ikiwa nafsi+ inatenda dhambi kwa kuwa amesikia laana+ ya hadharani naye ni shahidi au ameiona au amepata kujua juu yake, asipotoa habari,+ ndipo atakapojibu kwa sababu ya kosa lake.