Mathayo 5:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+ Yakobo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo, akina ndugu, zaidi ya mambo yote, acheni kuapa, naam, ama kwa mbingu ama kwa dunia ama kwa kiapo kingine chochote.+ Bali acheni Ndiyo yenu imaanishe Ndiyo, na Siyo yenu, Siyo, ili msianguke hukumuni.+
37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+
12 Hata hivyo, akina ndugu, zaidi ya mambo yote, acheni kuapa, naam, ama kwa mbingu ama kwa dunia ama kwa kiapo kingine chochote.+ Bali acheni Ndiyo yenu imaanishe Ndiyo, na Siyo yenu, Siyo, ili msianguke hukumuni.+