17 Basi, nilipokuwa nikikusudia hivyo, je, nilifanya mambo kijuujuu?+ Au mambo yale ninayokusudia, je, mimi nayakusudia kulingana na mwili,+ ili kwamba niseme “Ndiyo, Ndiyo” na “Siyo, Siyo”?+
12 Hata hivyo, akina ndugu, zaidi ya mambo yote, acheni kuapa, naam, ama kwa mbingu ama kwa dunia ama kwa kiapo kingine chochote.+ Bali acheni Ndiyo yenu imaanishe Ndiyo, na Siyo yenu, Siyo, ili msianguke hukumuni.+