Mambo ya Walawi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na msiape uwongo kwa jina langu,+ ili msilitie unajisi jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. Mathayo 5:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msiape+ hata kidogo, wala kwa mbingu, kwa sababu hizo ni kiti cha ufalme cha Mungu;+
34 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msiape+ hata kidogo, wala kwa mbingu, kwa sababu hizo ni kiti cha ufalme cha Mungu;+