-
2 Wakorintho 1:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Basi, nilipokusudia hivyo, je, nilipuuza jambo hilo? Au je, mimi ninakusudia mambo kwa njia ya kimwili hivi kwamba ninasema “Ndiyo, ndiyo” na kisha “Siyo, siyo”?
-
-
2 Wakorintho 1:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 Basi, nilipokuwa na kusudio la namna hiyo, sikufanya ugeugeu, ndivyo? Au mambo yote nikusudiayo, je, nakusudia hayo kulingana na mwili, ili kwangu kuwe “Ndiyo, Ndiyo” na “La, La”?
-