Mathayo 5:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+ 2 Wakorintho 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi, nilipokuwa nikikusudia hivyo, je, nilifanya mambo kijuujuu?+ Au mambo yale ninayokusudia, je, mimi nayakusudia kulingana na mwili,+ ili kwamba niseme “Ndiyo, Ndiyo” na “Siyo, Siyo”?+ 1 Timotheo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 waasherati,+ wanaume wanaolala na wanaume, watu wanaoteka watu, waongo, wanaoapa kwa uwongo,+ na jambo lingine lolote linalopinga+ fundisho lenye afya+
37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+
17 Basi, nilipokuwa nikikusudia hivyo, je, nilifanya mambo kijuujuu?+ Au mambo yale ninayokusudia, je, mimi nayakusudia kulingana na mwili,+ ili kwamba niseme “Ndiyo, Ndiyo” na “Siyo, Siyo”?+
10 waasherati,+ wanaume wanaolala na wanaume, watu wanaoteka watu, waongo, wanaoapa kwa uwongo,+ na jambo lingine lolote linalopinga+ fundisho lenye afya+