Matendo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba? Waroma 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 wasio na uelewaji,+ waongo kwa mapatano,+ wasio na upendo wa asili,+ wasio na rehema.+
3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?