Zaburi 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+ Waroma 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa sababu, ijapokuwa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kuwa Mungu wala hawakumshukuru,+ bali wakawa wajinga+ katika kufikiri kwao na moyo wao usio na ufahamu ukaingiwa na giza.+
9 Msijifanye kama farasi au nyumbu wasio na uelewaji,+Ambao roho yao yenye nguvu huzuiwa na hatamu au lijamu+Kabla wao hawajakukaribia wewe.”+
21 Kwa sababu, ijapokuwa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kuwa Mungu wala hawakumshukuru,+ bali wakawa wajinga+ katika kufikiri kwao na moyo wao usio na ufahamu ukaingiwa na giza.+