Yeremia 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Hakika nimemsikia Efraimu akijiombolezea,+ ‘Umenirekebisha,+ ili nipate kurekebishwa, kama ndama ambaye hajazoezwa.+ Unigeuze mimi, nami nitageuka bila kusita,+ kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.+ Yakobo 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tukiweka lijamu+ katika vinywa vya farasi ili watutii,+ sisi huuongoza mwili wao wote pia.
18 “Hakika nimemsikia Efraimu akijiombolezea,+ ‘Umenirekebisha,+ ili nipate kurekebishwa, kama ndama ambaye hajazoezwa.+ Unigeuze mimi, nami nitageuka bila kusita,+ kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.+