-
Yeremia 31:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 “Hakika nimemsikia Efraimu akiomboleza,
‘Umenirekebisha, nami nimerekebishwa,
Kama ndama ambaye hajazoezwa.
Nirudishe, nami nitageuka bila kusita,
Kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.
-