Yeremia 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uniponye, Ee Yehova, nami nitapona.+ Uniokoe, nami nitaokoka;+ kwa maana wewe ni sifa yangu.+ Maombolezo 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Uturudishe kwako,+ Ee Yehova, nasi tutarudi bila kukawia. Utuletee siku zilizo mpya kama katika zamani za kale.+
21 Uturudishe kwako,+ Ee Yehova, nasi tutarudi bila kukawia. Utuletee siku zilizo mpya kama katika zamani za kale.+