Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Maombolezo 5:1

Marejeo

  • +Law 26:44; Yer 15:15; Omb 1:20
  • +Zb 44:13; 79:4; Omb 2:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 10

Maombolezo 5:2

Marejeo

  • +Kum 28:30; Zb 79:1; 136:21; Isa 1:7; Yer 6:12; Sef 1:13

Maombolezo 5:3

Marejeo

  • +Kut 22:24
  • +Yer 18:21

Maombolezo 5:4

Marejeo

  • +Kum 28:48; Isa 3:1; Eze 4:11, 16

Maombolezo 5:5

Marejeo

  • +Kum 28:48; Yer 27:8; 28:14
  • +Kum 28:65

Maombolezo 5:6

Marejeo

  • +Eze 17:18
  • +Isa 30:2; 31:1; Yer 2:18, 36; 44:12
  • +2Nya 28:16; Ho. 5:13; 7:11; 9:3; 12:1

Maombolezo 5:7

Marejeo

  • +Yer 16:12; 31:29; Eze 18:2
  • +Kut 20:5; Yer 14:20; Zek 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 11

    9/1/1988, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 11

Maombolezo 5:8

Marejeo

  • +Kum 28:43; Met 30:22; Isa 3:4
  • +Zek 11:6

Maombolezo 5:9

Marejeo

  • +Yer 52:6; Eze 4:10

Maombolezo 5:10

Marejeo

  • +2Fa 25:3; Ayu 30:30; Omb 4:8

Maombolezo 5:11

Marejeo

  • +Kum 28:30; Zek 14:2

Maombolezo 5:12

Marejeo

  • +Yer 39:6
  • +Isa 47:6; Yer 6:11; Omb 4:16

Maombolezo 5:13

Marejeo

  • +Amu 16:21
  • +Kut 1:11

Maombolezo 5:14

Marejeo

  • +Kum 16:18; Yos 20:4; Ru 4:11
  • +Yer 25:10

Maombolezo 5:15

Marejeo

  • +Amo 8:10

Maombolezo 5:16

Marejeo

  • +Ayu 19:9; Zb 7:5; 89:39
  • +Met 14:34; Isa 3:9; 59:12

Maombolezo 5:17

Marejeo

  • +Isa 1:5; Yer 8:18; Omb 1:22
  • +Kum 28:65; Ayu 17:7; Zb 6:7; Isa 59:10; Omb 2:11

Maombolezo 5:18

Marejeo

  • +Law 26:43; Yer 26:18
  • +Isa 32:14; Yer 9:11; Eze 13:4

Maombolezo 5:19

Marejeo

  • +Zb 9:7; 90:2; 102:12
  • +Zb 102:27; 145:13; 146:10; Hab 1:12

Maombolezo 5:20

Marejeo

  • +Zb 13:1; Yer 14:19
  • +Zb 79:5

Maombolezo 5:21

Marejeo

  • +Kum 4:30; Zb 80:3; 85:4; Yer 31:18; 32:37
  • +Yer 33:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 132

Maombolezo 5:22

Marejeo

  • +Zb 44:9
  • +Kum 28:15; Zb 60:1; Yer 31:37

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Omb. 5:1Law 26:44; Yer 15:15; Omb 1:20
Omb. 5:1Zb 44:13; 79:4; Omb 2:15
Omb. 5:2Kum 28:30; Zb 79:1; 136:21; Isa 1:7; Yer 6:12; Sef 1:13
Omb. 5:3Kut 22:24
Omb. 5:3Yer 18:21
Omb. 5:4Kum 28:48; Isa 3:1; Eze 4:11, 16
Omb. 5:5Kum 28:48; Yer 27:8; 28:14
Omb. 5:5Kum 28:65
Omb. 5:6Eze 17:18
Omb. 5:6Isa 30:2; 31:1; Yer 2:18, 36; 44:12
Omb. 5:62Nya 28:16; Ho. 5:13; 7:11; 9:3; 12:1
Omb. 5:7Yer 16:12; 31:29; Eze 18:2
Omb. 5:7Kut 20:5; Yer 14:20; Zek 1:5
Omb. 5:8Kum 28:43; Met 30:22; Isa 3:4
Omb. 5:8Zek 11:6
Omb. 5:9Yer 52:6; Eze 4:10
Omb. 5:102Fa 25:3; Ayu 30:30; Omb 4:8
Omb. 5:11Kum 28:30; Zek 14:2
Omb. 5:12Yer 39:6
Omb. 5:12Isa 47:6; Yer 6:11; Omb 4:16
Omb. 5:13Amu 16:21
Omb. 5:13Kut 1:11
Omb. 5:14Kum 16:18; Yos 20:4; Ru 4:11
Omb. 5:14Yer 25:10
Omb. 5:15Amo 8:10
Omb. 5:16Ayu 19:9; Zb 7:5; 89:39
Omb. 5:16Met 14:34; Isa 3:9; 59:12
Omb. 5:17Isa 1:5; Yer 8:18; Omb 1:22
Omb. 5:17Kum 28:65; Ayu 17:7; Zb 6:7; Isa 59:10; Omb 2:11
Omb. 5:18Law 26:43; Yer 26:18
Omb. 5:18Isa 32:14; Yer 9:11; Eze 13:4
Omb. 5:19Zb 9:7; 90:2; 102:12
Omb. 5:19Zb 102:27; 145:13; 146:10; Hab 1:12
Omb. 5:20Zb 13:1; Yer 14:19
Omb. 5:20Zb 79:5
Omb. 5:21Kum 4:30; Zb 80:3; 85:4; Yer 31:18; 32:37
Omb. 5:21Yer 33:13
Omb. 5:22Zb 44:9
Omb. 5:22Kum 28:15; Zb 60:1; Yer 31:37
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Maombolezo 5:1-22

Maombolezo

5 Ee Yehova, ukumbuke yale yaliyotupata.+ Utazame, uone shutuma zetu.+

 2 Fungu la urithi wetu limeenda kwa wageni, nyumba zetu kwa watu wa kutoka ugenini.+

 3 Tumekuwa mayatima wasio na baba.+ Mama zetu ni kama wajane.+

 4 Tumetumia pesa ili tunywe maji yetu wenyewe.+ Kuni zetu wenyewe zinatujia kwa bei.

 5 Tumefuatiwa kwa ukaribu kwenye shingo zetu.+ Tumechoka. Hatukuachiwa pumziko lolote.+

 6 Tumewapa mkono+ Misri;+ Ashuru,+ ili tushibe mkate.

 7 Mababu zetu ndio wamefanya dhambi.+ Hawako tena. Lakini sisi, imekuwa lazima tuchukue makosa yao.+

 8 Watumishi wametawala juu yetu.+ Hakuna anayetunyakua kutoka mkononi mwao.+

 9 Tunauleta mkate wetu kwa kuhatarisha nafsi zetu,+ kwa sababu ya upanga wa nyika.

10 Ngozi yetu imekuwa moto kama tanuru, kwa sababu ya maumivu ya njaa.+

11 Wake wamenyenyekezwa katika Sayuni,+ mabikira katika majiji ya Yuda.

12 Wakuu wametundikwa kwa mkono wao.+ Hata nyuso za wanaume wazee hazikuheshimiwa.+

13 Hata vijana wameinua jiwe la kusagia la mkononi,+ na wavulana wamejikwaa chini ya kuni.+

14 Wanaume wazee wameacha kutoka langoni,+ vijana wamekomesha muziki wao wa vyombo.+

15 Furaha ya moyo wetu imekoma. Mchezo wetu wa dansi umebadilishwa uwe maombolezo matupu.+

16 Taji la kichwa chetu limeanguka.+ Ole wetu, sasa, kwa sababu tumefanya dhambi!+

17 Kwa sababu hiyo moyo wetu umekuwa mgonjwa.+ Kwa sababu ya mambo haya macho yetu yameingia giza,+

18 Kwa sababu ya mlima wa Sayuni ambao umefanywa ukiwa;+ mbweha wametembea juu yake.+

19 Lakini wewe, Ee Yehova, utaketi mpaka wakati usio na kipimo.+ Kiti chako cha ufalme ni cha kizazi baada ya kizazi.+

20 Kwa nini unatusahau milele,+ hivi kwamba unatuacha kwa siku nyingi?+

21 Uturudishe kwako,+ Ee Yehova, nasi tutarudi bila kukawia. Utuletee siku zilizo mpya kama katika zamani za kale.+

22 Hata hivyo, hakika umetukataa.+ Umetukasirikia sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki