Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:65
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 Na kati ya mataifa hayo hutakuwa na starehe yoyote,+ wala hakutakuwa na mahali popote pa kupumzika kwa ajili ya wayo wa mguu wako; naye Yehova kwa kweli atakupa huko moyo wa kutetemeka+ na kufifia kwa macho+ na kukata tamaa kwa nafsi.

  • Ayubu 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Na jicho langu linaingia giza kutokana na usumbufu+

      Na viungo vyangu vyote ni kama kivuli.

  • Zaburi 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kutokana na masumbufu jicho langu limekuwa dhaifu,+

      Limezeeka kwa sababu ya wale wote wanaonionyesha uadui.+

  • Isaya 59:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tunaendelea kupapasa tukiutafuta ukuta kama vipofu, nasi tunaendelea kupapasa kama wale wasio na macho.+ Tumejikwaa katikati ya mchana kama katika giza la jioni; kati ya wenye nguvu sisi ni kama wafu tu.+

  • Maombolezo 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Macho yangu yamechoka kabisa kwa machozi matupu.+ Matumbo yangu yako katika msukosuko.+

      Ini langu limemwagwa chini kabisa,+ kwa sababu ya anguko la binti ya watu wangu,+

      Kwa sababu ya kuzimia kwa mtoto mchanga na yule anayenyonya katika viwanja vya watu wote vya jiji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki