Zaburi 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kutokana na masumbufu jicho langu limekuwa dhaifu,+Limezeeka kwa sababu ya wale wote wanaonionyesha uadui.+ Maombolezo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+ Maombolezo 3:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Jicho langu huendelea kutiririka vijito vya maji kwa sababu ya kuvunjika kwa binti ya watu wangu.+
7 Kutokana na masumbufu jicho langu limekuwa dhaifu,+Limezeeka kwa sababu ya wale wote wanaonionyesha uadui.+
16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+
48 Jicho langu huendelea kutiririka vijito vya maji kwa sababu ya kuvunjika kwa binti ya watu wangu.+