21 Kwa maana kifo kimekuja kupitia madirisha yetu; kimeingia ndani ya minara ya makao yetu, ili kumkatilia mbali mtoto kutoka barabarani, vijana kutoka katika viwanja vya watu wote.’+
15 “Yehova amesema hivi, ‘Katika Rama+ sauti inasikiwa, maombolezo na kilio cha uchungu;+ Raheli+ akiwalilia wanawe.+ Amekataa kufarijiwa juu ya wanawe,+ kwa sababu hawako tena.’”+