Mathayo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Sauti ilisikiwa katika Rama,+ kulia na kuomboleza kwingi; ni Raheli+ aliyekuwa akiwalilia watoto wake, naye hakutaka kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”
18 “Sauti ilisikiwa katika Rama,+ kulia na kuomboleza kwingi; ni Raheli+ aliyekuwa akiwalilia watoto wake, naye hakutaka kufarijiwa, kwa sababu hawako tena.”