15 “Yehova amesema hivi, ‘Katika Rama+ sauti inasikiwa, maombolezo na kilio cha uchungu;+ Raheli+ akiwalilia wanawe.+ Amekataa kufarijiwa juu ya wanawe,+ kwa sababu hawako tena.’”+
16 Yehova amesema hivi: “‘Zuia sauti yako, usilie, na macho yako yasitoe machozi,+ kwa maana kuna thawabu kwa ajili ya utendaji wako,’ asema Yehova, ‘nao hakika watarudi kutoka katika nchi ya adui.’+