Yeremia 31:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova anasema hivi: “‘Zuia sauti yako usilie na macho yako yasitokwe na machozi,Kwa maana utapata thawabu kwa ajili ya kazi yako,’ asema Yehova. ‘Watarudi kutoka nchi ya adui.’+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 31:16 Mnara wa Mlinzi,12/15/2014, uku. 21
16 Yehova anasema hivi: “‘Zuia sauti yako usilie na macho yako yasitokwe na machozi,Kwa maana utapata thawabu kwa ajili ya kazi yako,’ asema Yehova. ‘Watarudi kutoka nchi ya adui.’+