Yeremia 31:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova amesema hivi: “‘Zuia sauti yako, usilie, na macho yako yasitoe machozi,+ kwa maana kuna thawabu kwa ajili ya utendaji wako,’ asema Yehova, ‘nao hakika watarudi kutoka katika nchi ya adui.’+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 31:16 Mnara wa Mlinzi,12/15/2014, uku. 21
16 Yehova amesema hivi: “‘Zuia sauti yako, usilie, na macho yako yasitoe machozi,+ kwa maana kuna thawabu kwa ajili ya utendaji wako,’ asema Yehova, ‘nao hakika watarudi kutoka katika nchi ya adui.’+