Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Maombolezo 1:1

Marejeo

  • +Isa 3:26; Omb 2:10
  • +Zb 122:4
  • +Isa 54:4
  • +1Fa 4:20
  • +Kum 28:48; 2Fa 25:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:2

Marejeo

  • +Yer 9:1; Omb 1:16
  • +Yer 13:17
  • +Yer 4:30; Eze 16:37
  • +Yer 30:14
  • +Isa 30:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:3

Marejeo

  • +Law 26:33; 2Fa 24:14; 25:21; Yer 39:9; 52:27
  • +Kum 30:7; Yer 17:4
  • +Kum 28:64; Yer 24:9; Omb 2:9
  • +Omb 4:19

Maombolezo 1:4

Marejeo

  • +Omb 2:6; Ho. 2:11; Amo 8:10
  • +Isa 3:26; Yer 14:2
  • +Yer 4:9
  • +Yer 9:20

Maombolezo 1:5

Marejeo

  • +Kum 28:44
  • +Zb 80:6; Isa 47:6; Zek 1:15
  • +2Nya 36:16; Ne 9:33; Yer 30:14; Omb 1:18; Eze 8:17; Da 9:7, 16
  • +Yer 39:9; 52:30

Maombolezo 1:6

Marejeo

  • +Eze 24:21
  • +Isa 5:13
  • +Yer 46:15

Maombolezo 1:7

Marejeo

  • +1Fa 9:19; 10:27; Omb 1:10
  • +Yer 52:4
  • +Zb 137:3; Met 24:17; Omb 2:16

Maombolezo 1:8

Marejeo

  • +1Fa 8:46; Isa 1:4; 59:2; Yer 6:28; Eze 14:13; 22:4
  • +1Fa 9:7; Omb 4:6
  • +Yer 24:9
  • +Yer 13:22, 26; Eze 16:37; 23:29; Ho. 2:10
  • +Yer 4:31

Maombolezo 1:9

Marejeo

  • +Yer 2:34
  • +Kum 32:29; Yer 8:7
  • +Mhu 4:1; Omb 1:2; 2:13
  • +Kut 3:7
  • +Yer 50:29

Maombolezo 1:10

Marejeo

  • +2Nya 36:18; Isa 39:6; Yer 15:13; 20:5; 52:17, 19; Da 1:2
  • +2Nya 36:17; Zb 74:7; 79:1; Isa 63:18; 64:11; Yer 52:13; Eze 7:22

Maombolezo 1:11

Marejeo

  • +Yer 38:9; 52:6; Omb 2:12; 4:4
  • +Mwa 18:5; Wim 2:5
  • +Isa 54:1

Maombolezo 1:12

Marejeo

  • +Omb 2:15
  • +Omb 2:13; Da 9:12
  • +Yer 51:45

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 8

    9/1/1988, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 8

Maombolezo 1:13

Marejeo

  • +Zb 102:3
  • +Ayu 19:6; Zb 66:11; Eze 12:13; 17:20; Ho. 7:12
  • +Kum 28:65; Yer 4:19

Maombolezo 1:14

Marejeo

  • +Yos 24:19; Zb 5:10; Isa 59:12
  • +Kum 28:48
  • +Law 26:37; Yer 52:28; Eze 11:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:15

Marejeo

  • +2Fa 24:14
  • +2Nya 36:17
  • +Isa 63:3; Yoe 3:13; Ufu 14:19; 19:15
  • +Yer 14:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 8

    9/1/1988, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 8

Maombolezo 1:16

Marejeo

  • +Yer 31:15
  • +Yer 9:1; 13:17; 14:17; Omb 2:18
  • +Yer 9:21; 31:15
  • +Zb 137:3; Yer 50:29

Maombolezo 1:17

Marejeo

  • +Isa 1:15; Yer 4:31
  • +Isa 51:18; Yer 30:14; Omb 1:9
  • +Kum 28:49; 2Fa 24:2; 25:1
  • +Omb 1:8; Eze 36:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:18

Marejeo

  • +Kum 32:4; Ne 9:33; Da 9:7
  • +1Sa 12:14, 15; Zb 107:11; Isa 1:2
  • +Kum 28:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 1:19

Marejeo

  • +Yer 30:14
  • +Yer 14:15; 23:11
  • +Omb 1:11

Maombolezo 1:20

Marejeo

  • +Ayu 30:27; Yer 4:19; Omb 2:11
  • +Zb 13:2; 25:17
  • +Kum 9:23; Zb 5:10; 107:11; Isa 1:2; 63:10; Eze 20:8
  • +Kum 32:25; Yer 9:21; 15:2
  • +Yer 14:18; 18:21; Eze 7:15

Maombolezo 1:21

Marejeo

  • +Omb 1:16
  • +Zb 69:20; Yer 30:14
  • +Yer 40:2
  • +Eze 25:6; Oba 12
  • +Zb 37:13; Isa 13:19; Yer 25:14; Yoe 3:19
  • +Zb 137:8; Isa 51:23

Maombolezo 1:22

Marejeo

  • +Zb 109:15; Yer 51:35; Ro 2:6; Yak 2:13
  • +Ayu 34:11; Yer 16:18
  • +Omb 1:11
  • +Isa 1:5; Yer 8:18; Omb 5:17

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Omb. 1:1Isa 3:26; Omb 2:10
Omb. 1:1Zb 122:4
Omb. 1:1Isa 54:4
Omb. 1:11Fa 4:20
Omb. 1:1Kum 28:48; 2Fa 25:12
Omb. 1:2Yer 9:1; Omb 1:16
Omb. 1:2Yer 13:17
Omb. 1:2Yer 4:30; Eze 16:37
Omb. 1:2Yer 30:14
Omb. 1:2Isa 30:3
Omb. 1:3Law 26:33; 2Fa 24:14; 25:21; Yer 39:9; 52:27
Omb. 1:3Kum 30:7; Yer 17:4
Omb. 1:3Kum 28:64; Yer 24:9; Omb 2:9
Omb. 1:3Omb 4:19
Omb. 1:4Omb 2:6; Ho. 2:11; Amo 8:10
Omb. 1:4Isa 3:26; Yer 14:2
Omb. 1:4Yer 4:9
Omb. 1:4Yer 9:20
Omb. 1:5Kum 28:44
Omb. 1:5Zb 80:6; Isa 47:6; Zek 1:15
Omb. 1:52Nya 36:16; Ne 9:33; Yer 30:14; Omb 1:18; Eze 8:17; Da 9:7, 16
Omb. 1:5Yer 39:9; 52:30
Omb. 1:6Eze 24:21
Omb. 1:6Isa 5:13
Omb. 1:6Yer 46:15
Omb. 1:71Fa 9:19; 10:27; Omb 1:10
Omb. 1:7Yer 52:4
Omb. 1:7Zb 137:3; Met 24:17; Omb 2:16
Omb. 1:81Fa 8:46; Isa 1:4; 59:2; Yer 6:28; Eze 14:13; 22:4
Omb. 1:81Fa 9:7; Omb 4:6
Omb. 1:8Yer 24:9
Omb. 1:8Yer 13:22, 26; Eze 16:37; 23:29; Ho. 2:10
Omb. 1:8Yer 4:31
Omb. 1:9Yer 2:34
Omb. 1:9Kum 32:29; Yer 8:7
Omb. 1:9Mhu 4:1; Omb 1:2; 2:13
Omb. 1:9Kut 3:7
Omb. 1:9Yer 50:29
Omb. 1:102Nya 36:18; Isa 39:6; Yer 15:13; 20:5; 52:17, 19; Da 1:2
Omb. 1:102Nya 36:17; Zb 74:7; 79:1; Isa 63:18; 64:11; Yer 52:13; Eze 7:22
Omb. 1:11Yer 38:9; 52:6; Omb 2:12; 4:4
Omb. 1:11Mwa 18:5; Wim 2:5
Omb. 1:11Isa 54:1
Omb. 1:12Omb 2:15
Omb. 1:12Omb 2:13; Da 9:12
Omb. 1:12Yer 51:45
Omb. 1:13Zb 102:3
Omb. 1:13Ayu 19:6; Zb 66:11; Eze 12:13; 17:20; Ho. 7:12
Omb. 1:13Kum 28:65; Yer 4:19
Omb. 1:14Yos 24:19; Zb 5:10; Isa 59:12
Omb. 1:14Kum 28:48
Omb. 1:14Law 26:37; Yer 52:28; Eze 11:9
Omb. 1:152Fa 24:14
Omb. 1:152Nya 36:17
Omb. 1:15Isa 63:3; Yoe 3:13; Ufu 14:19; 19:15
Omb. 1:15Yer 14:17
Omb. 1:16Yer 31:15
Omb. 1:16Yer 9:1; 13:17; 14:17; Omb 2:18
Omb. 1:16Yer 9:21; 31:15
Omb. 1:16Zb 137:3; Yer 50:29
Omb. 1:17Isa 1:15; Yer 4:31
Omb. 1:17Isa 51:18; Yer 30:14; Omb 1:9
Omb. 1:17Kum 28:49; 2Fa 24:2; 25:1
Omb. 1:17Omb 1:8; Eze 36:17
Omb. 1:18Kum 32:4; Ne 9:33; Da 9:7
Omb. 1:181Sa 12:14, 15; Zb 107:11; Isa 1:2
Omb. 1:18Kum 28:32
Omb. 1:19Yer 30:14
Omb. 1:19Yer 14:15; 23:11
Omb. 1:19Omb 1:11
Omb. 1:20Ayu 30:27; Yer 4:19; Omb 2:11
Omb. 1:20Zb 13:2; 25:17
Omb. 1:20Kum 9:23; Zb 5:10; 107:11; Isa 1:2; 63:10; Eze 20:8
Omb. 1:20Kum 32:25; Yer 9:21; 15:2
Omb. 1:20Yer 14:18; 18:21; Eze 7:15
Omb. 1:21Omb 1:16
Omb. 1:21Zb 69:20; Yer 30:14
Omb. 1:21Yer 40:2
Omb. 1:21Eze 25:6; Oba 12
Omb. 1:21Zb 37:13; Isa 13:19; Yer 25:14; Yoe 3:19
Omb. 1:21Zb 137:8; Isa 51:23
Omb. 1:22Zb 109:15; Yer 51:35; Ro 2:6; Yak 2:13
Omb. 1:22Ayu 34:11; Yer 16:18
Omb. 1:22Omb 1:11
Omb. 1:22Isa 1:5; Yer 8:18; Omb 5:17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Maombolezo 1:1-22

Maombolezo

Maombolezo

א [ʼAʹleph]

1 Lo! jinsi ameketi akiwa mpweke,+ jiji lililokuwa limejaa watu!+

Jinsi amekuwa kama mjane,+ yule aliyekuwa na hesabu kubwa ya watu kati ya mataifa!+

Jinsi yule aliyekuwa binti ya kifalme kati ya wilaya za utawala amekuja kufanya kazi ya kulazimishwa!+

ב [Behth]

 2 Yeye hulia sana usiku,+ na machozi yake yako kwenye mashavu

yake.+

Hana yeyote wa kumfariji kati ya wapenzi wake wote.+

Wenzake wote wamemtendea kwa hila.+ Wamekuwa adui kwake.+

ג [Giʹmel]

 3 Yuda ameenda uhamishoni kwa sababu ya mateso+ na kwa sababu ya utumishi mwingi.+

Imekuwa lazima akae katikati ya mataifa.+ Hakupata mahali pa kupumzikia.

Wote waliokuwa wakimtesa wamemfikia kati ya hali zenye kutaabisha.+

ד [Daʹleth]

 4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+

Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+

Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+

ה [Heʼ]

 5 Wapinzani wake wamekuwa kichwa.+ Adui zake hawajali.+

Kwa maana Yehova mwenyewe amemletea huzuni kwa sababu ya wingi wa makosa yake,+

Watoto wake mwenyewe wametembea wakiwa mateka mbele ya

adui.+

ו [Waw]

 6 Na fahari yote ya binti Sayuni inaondoka.+

Wakuu wake wamekuwa kama paa ambao hawakupata malisho;+

Nao wanaendelea kutembea bila nguvu mbele ya yule anayewafuatilia.+

ז [Zaʹyin]

 7 Yerusalemu amekumbuka katika siku za mateso yake na za watu wake wasio na makao

Vitu vyake vyote vyenye kutamanika vilivyokuwapo tangu siku za zamani za kale.+

Wakati watu wake walipoanguka mkononi mwa adui wala hakuwa na msaidizi,+

Adui walimwona. Wakacheka kuanguka kwake.+

ח [Chehth]

 8 Yerusalemu amefanya dhambi waziwazi.+ Ndiyo sababu amekuwa chukizo.+

Wote waliokuwa wakimheshimu wamemtendea kwa dharau,+ kwa maana wameuona uchi wake.+

Yeye pia anaugua+ na kugeuza mgongo wake.

ט [Tehth]

 9 Uchafu wake umo ndani ya marinda yake.+ Hakukumbuka wakati wake ujao,+

Naye huteremka chini kwa njia ya ajabu. Hana mfariji.+

Ee Yehova, uone mateso yangu,+ kwa maana adui amejivuna sana.+

י [Yohdh]

10 Adui amenyoosha mkono wake juu ya vitu vyake vyote vyenye kutamanika.+

Kwa maana ameona mataifa ambayo yameingia katika patakatifu pake,+

Ambayo uliamuru kwamba wasiingie katika kutaniko lako.

כ [Kaph]

11 Watu wake wote wanaugua; wanatafuta mkate.+

Wametoa vitu vyao vyenye kutamanika wapate chakula, ili kuiburudisha nafsi.+

Uone, Ee Yehova, na utazame, kwa maana nimekuwa kama mwanamke asiye na thamani.+

ל [Laʹmedh]

12 Je, haimaanishi chochote kwenu nyote mnaopita njiani? Tazameni, mwone.+

Je, kuna uchungu wowote ulio kama uchungu wangu ambao nimetendewa vikali,+

Ambao Yehova ametumia kuleta huzuni katika siku ya hasira yake inayowaka?+

מ [Mem]

13 Kutoka juu ameleta moto katika mifupa yangu,+ naye anatiisha kila mmoja wao.

Ametandaza wavu kwa ajili ya miguu yangu.+ Amenigeuza nirudi nyuma.

Amenifanya kuwa mwanamke aliye katika hali ya ukiwa. Siku nzima mimi ni mgonjwa.+

נ [Nun]

14 Amekaa macho kuona makosa yangu.+ Yanasokotana mkononi mwake.

Yamepanda juu shingoni mwangu.+ Nguvu zangu zimejikwaa.

Yehova amenitia mkononi mwa watu ambao siwezi kusimama dhidi yao.+

ס [Saʹmekh]

15 Yehova ametupa kutoka katikati yangu watu wangu wote wenye nguvu.+

Ameitisha mkutano juu yangu, ili kuvunja vipande-vipande vijana wangu.+

Yehova amekanyaga shinikizo la divai+ la binti Yuda aliye bikira.+

ע [ʽAʹyin]

16 Nalia juu ya mambo hayo kama mwanamke.+ Jicho langu, jicho langu linatiririka maji.+

Kwa maana mfariji amekuwa mbali sana nami, mtu wa kuiburudisha nafsi yangu.

Wanangu wamefanywa ukiwa,+ kwa maana adui amejivuna sana.+

פ [Peʼ]

17 Sayuni amenyoosha mikono yake.+ Hana mfariji.+

Yehova ametoa amri kuhusu Yakobo kwa adui zake wote wanaomzunguka.+

Yerusalemu limekuwa chukizo kati yao.+

צ [Tsa·dhehʹ]

18 Yehova ni mwadilifu,+ kwa maana nimekiasi kinywa chake.+

Sikilizeni sasa, enyi nyote vikundi vya watu, na mwone maumivu yangu.

Mabikira wangu na vijana wangu wameenda utekwani.+

ק [Qohph]

19 Nimeita wale wanaonipenda sana.+ Wao wenyewe wamenifanyia ujanja.

Makuhani wangu na wanaume wangu wazee wamekufa katika jiji,+

Walipolazimika kujitafutia chakula ili waziburudishe nafsi zao.+

ר [Rehsh]

20 Tazama, Ee Yehova, kwa maana nina dhiki kali. Matumbo yangu yako katika msukosuko.+

Moyo wangu umepinduliwa ndani yangu,+ kwa maana nimeasi kabisa.+

Huko nje upanga uliwaua watoto.+ Ndani ya nyumba ni sawasawa na kifo.+

ש [Shin]

21 Watu wamesikia jinsi ninavyougua kama mwanamke.+ Sina mfariji.+

Adui zangu wote wamesikia juu ya msiba wangu.+ Wamefurahi, kwa sababu wewe mwenyewe umefanya hayo.+

Hakika utaileta siku ambayo umetangaza,+ ili wawe kama mimi.+

ת [Taw]

22 Ubaya wao wote na uje mbele zako, nawe uwatendee vikali,+

Kama vile ulivyonitendea vikali kwa sababu ya makosa yangu yote.+

Kwa maana ninaugua sana,+ na moyo wangu ni mgonjwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki