Yeremia 38:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ee bwana wangu mfalme, watu hawa wametenda mabaya kwa yote ambayo wamemtendea Yeremia nabii, ambaye wamemtupa ndani ya tangi la maji, hivi kwamba atakufa+ hapo alipo kwa sababu ya njaa.+ Kwa maana hakuna mkate tena jijini.” Yeremia 52:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo,+ njaa pia ikawa kali ndani ya jiji na hapakuwa na mkate kwa ajili ya watu wa nchi.+ Maombolezo 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Waliendelea kuwaambia mama zao: “Iko wapi nafaka na divai?”+Kwa sababu ya kuzimia kwao kama mtu aliyeuawa katika viwanja vya watu wote vya jiji,Kwa sababu ya nafsi yao kumwagwa kwenye vifua vya mama zao. Maombolezo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+
9 “Ee bwana wangu mfalme, watu hawa wametenda mabaya kwa yote ambayo wamemtendea Yeremia nabii, ambaye wamemtupa ndani ya tangi la maji, hivi kwamba atakufa+ hapo alipo kwa sababu ya njaa.+ Kwa maana hakuna mkate tena jijini.”
6 Katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo,+ njaa pia ikawa kali ndani ya jiji na hapakuwa na mkate kwa ajili ya watu wa nchi.+
12 Waliendelea kuwaambia mama zao: “Iko wapi nafaka na divai?”+Kwa sababu ya kuzimia kwao kama mtu aliyeuawa katika viwanja vya watu wote vya jiji,Kwa sababu ya nafsi yao kumwagwa kwenye vifua vya mama zao.
4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+