Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 38:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ee bwana wangu mfalme, watu hawa wametenda mabaya kwa yote ambayo wamemtendea Yeremia nabii, ambaye wamemtupa ndani ya tangi la maji, hivi kwamba atakufa+ hapo alipo kwa sababu ya njaa.+ Kwa maana hakuna mkate tena jijini.”

  • Yeremia 52:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo,+ njaa pia ikawa kali ndani ya jiji na hapakuwa na mkate kwa ajili ya watu wa nchi.+

  • Maombolezo 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Waliendelea kuwaambia mama zao: “Iko wapi nafaka na divai?”+

      Kwa sababu ya kuzimia kwao kama mtu aliyeuawa katika viwanja vya watu wote vya jiji,

      Kwa sababu ya nafsi yao kumwagwa kwenye vifua vya mama zao.

  • Maombolezo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+

      Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki