Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Maombolezo 4:1

Marejeo

  • +1Fa 6:22
  • +1Fa 5:17; 7:9
  • +Yer 52:13

Maombolezo 4:2

Marejeo

  • +Isa 51:18
  • +Isa 30:14; Yer 19:11; 22:28; Omb 5:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 4:3

Marejeo

  • +Law 26:29; Kum 28:53; Yer 19:9; Omb 4:10
  • +Ayu 39:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 10

    9/1/1988, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 10

Maombolezo 4:4

Marejeo

  • +Zb 22:15; Omb 2:11
  • +Omb 1:11; 2:12
  • +Yer 52:6

Maombolezo 4:5

Marejeo

  • +Amo 6:4, 7
  • +Yer 6:2
  • +Ayu 2:8

Maombolezo 4:6

Marejeo

  • +Mwa 19:24; Eze 16:48
  • +Mwa 19:25; Da 9:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, kur. 107-108

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 107

Maombolezo 4:7

Marejeo

  • +Hes 6:2; Amu 13:5
  • +Zb 51:7
  • +1Sa 16:12; Wim 5:10
  • +Ayu 28:16

Maombolezo 4:8

Marejeo

  • +Ayu 2:12
  • +Ayu 19:20; 33:21; Zb 102:5

Maombolezo 4:9

Marejeo

  • +Yer 38:2
  • +Yer 29:17

Maombolezo 4:10

Marejeo

  • +Law 26:29; Kum 28:55; Omb 2:20; 4:3
  • +Kum 28:57; Isa 49:15; Omb 3:48

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Yeremia, kur. 154-155

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1989, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    jr 155

Maombolezo 4:11

Marejeo

  • +Kum 28:20; 2Nya 36:16; Yer 6:11; 9:11; Eze 22:31; Da 9:12; Zek 1:6
  • +Law 26:28; Yer 7:20
  • +Kum 32:22; 2Fa 25:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 164

Maombolezo 4:12

Marejeo

  • +Kum 29:24; 1Fa 9:8
  • +2Fa 25:10; Yer 52:13

Maombolezo 4:13

Marejeo

  • +Yer 5:31; 6:13; 14:14; 23:11; Omb 2:14; Mik 3:11; Sef 3:4
  • +Yer 26:8; Mt 23:31; Lu 11:47; Mdo 7:52

Maombolezo 4:14

Marejeo

  • +Isa 59:10; Sef 1:17
  • +Kum 28:28; Isa 56:10; Mt 15:14
  • +Hes 35:33; Isa 1:15; Yer 2:34; Eze 33:25; Ho. 4:2
  • +Hes 19:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 164

Maombolezo 4:15

Marejeo

  • +Law 13:45
  • +2Ko 6:17
  • +Law 26:33; Omb 1:7
  • +Kum 28:65
  • +Kum 28:25, 68

Maombolezo 4:16

Marejeo

  • +Law 26:33; Kum 28:64; Yer 24:9
  • +Ayu 34:29; Zb 34:16; Isa 59:2; Yer 18:17; Ebr 8:9
  • +2Fa 25:18
  • +Omb 5:12; Eze 9:6

Maombolezo 4:17

Marejeo

  • +2Fa 24:7; Isa 20:5; Omb 1:19
  • +Isa 30:3; 31:3; Yer 37:7; Eze 29:6

Maombolezo 4:18

Marejeo

  • +2Fa 25:5; Yer 39:4; Omb 3:52
  • +Eze 7:2; 12:23; Amo 8:2

Maombolezo 4:19

Marejeo

  • +Kum 28:49; Isa 5:26; Yer 4:13; Ho. 8:1; Hab 1:8
  • +2Fa 25:5; Amo 2:14
  • +Omb 3:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1996, kur. 9-10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 6/15 9-10

Maombolezo 4:20

Marejeo

  • +Mwa 2:7
  • +Zb 89:20; Yer 37:1
  • +2Fa 25:6; Yer 39:5; 52:8; Eze 12:13
  • +Amu 9:15; Da 4:12
  • +1Sa 9:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1988, uku. 26

Maombolezo 4:21

Marejeo

  • +Met 2:14; 1Ko 13:6
  • +Zb 137:7; Oba 12
  • +Yer 25:20
  • +Yer 25:15; 49:12; Oba 16
  • +Yer 49:10

Maombolezo 4:22

Marejeo

  • +Law 26:43; Isa 40:2; Yer 50:20
  • +Law 26:44; Isa 52:1; 60:18
  • +Zb 137:7; Isa 34:5; Eze 25:13; 35:15; Amo 1:11; Oba 13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Omb. 4:11Fa 6:22
Omb. 4:11Fa 5:17; 7:9
Omb. 4:1Yer 52:13
Omb. 4:2Isa 51:18
Omb. 4:2Isa 30:14; Yer 19:11; 22:28; Omb 5:12
Omb. 4:3Law 26:29; Kum 28:53; Yer 19:9; Omb 4:10
Omb. 4:3Ayu 39:16
Omb. 4:4Zb 22:15; Omb 2:11
Omb. 4:4Omb 1:11; 2:12
Omb. 4:4Yer 52:6
Omb. 4:5Amo 6:4, 7
Omb. 4:5Yer 6:2
Omb. 4:5Ayu 2:8
Omb. 4:6Mwa 19:24; Eze 16:48
Omb. 4:6Mwa 19:25; Da 9:12
Omb. 4:7Hes 6:2; Amu 13:5
Omb. 4:7Zb 51:7
Omb. 4:71Sa 16:12; Wim 5:10
Omb. 4:7Ayu 28:16
Omb. 4:8Ayu 2:12
Omb. 4:8Ayu 19:20; 33:21; Zb 102:5
Omb. 4:9Yer 38:2
Omb. 4:9Yer 29:17
Omb. 4:10Law 26:29; Kum 28:55; Omb 2:20; 4:3
Omb. 4:10Kum 28:57; Isa 49:15; Omb 3:48
Omb. 4:11Kum 28:20; 2Nya 36:16; Yer 6:11; 9:11; Eze 22:31; Da 9:12; Zek 1:6
Omb. 4:11Law 26:28; Yer 7:20
Omb. 4:11Kum 32:22; 2Fa 25:9
Omb. 4:12Kum 29:24; 1Fa 9:8
Omb. 4:122Fa 25:10; Yer 52:13
Omb. 4:13Yer 5:31; 6:13; 14:14; 23:11; Omb 2:14; Mik 3:11; Sef 3:4
Omb. 4:13Yer 26:8; Mt 23:31; Lu 11:47; Mdo 7:52
Omb. 4:14Isa 59:10; Sef 1:17
Omb. 4:14Kum 28:28; Isa 56:10; Mt 15:14
Omb. 4:14Hes 35:33; Isa 1:15; Yer 2:34; Eze 33:25; Ho. 4:2
Omb. 4:14Hes 19:16
Omb. 4:15Law 13:45
Omb. 4:152Ko 6:17
Omb. 4:15Law 26:33; Omb 1:7
Omb. 4:15Kum 28:65
Omb. 4:15Kum 28:25, 68
Omb. 4:16Law 26:33; Kum 28:64; Yer 24:9
Omb. 4:16Ayu 34:29; Zb 34:16; Isa 59:2; Yer 18:17; Ebr 8:9
Omb. 4:162Fa 25:18
Omb. 4:16Omb 5:12; Eze 9:6
Omb. 4:172Fa 24:7; Isa 20:5; Omb 1:19
Omb. 4:17Isa 30:3; 31:3; Yer 37:7; Eze 29:6
Omb. 4:182Fa 25:5; Yer 39:4; Omb 3:52
Omb. 4:18Eze 7:2; 12:23; Amo 8:2
Omb. 4:19Kum 28:49; Isa 5:26; Yer 4:13; Ho. 8:1; Hab 1:8
Omb. 4:192Fa 25:5; Amo 2:14
Omb. 4:19Omb 3:10
Omb. 4:20Mwa 2:7
Omb. 4:20Zb 89:20; Yer 37:1
Omb. 4:202Fa 25:6; Yer 39:5; 52:8; Eze 12:13
Omb. 4:20Amu 9:15; Da 4:12
Omb. 4:201Sa 9:16
Omb. 4:21Met 2:14; 1Ko 13:6
Omb. 4:21Zb 137:7; Oba 12
Omb. 4:21Yer 25:20
Omb. 4:21Yer 25:15; 49:12; Oba 16
Omb. 4:21Yer 49:10
Omb. 4:22Law 26:43; Isa 40:2; Yer 50:20
Omb. 4:22Law 26:44; Isa 52:1; 60:18
Omb. 4:22Zb 137:7; Isa 34:5; Eze 25:13; 35:15; Amo 1:11; Oba 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Maombolezo 4:1-22

Maombolezo

א [ʼAʹleph]

4 Lo! jinsi inavyofifia dhahabu yenye kung’aa, dhahabu iliyo nzuri!+

Lo! jinsi mawe matakatifu+ yanavyomwagwa mbele ya barabara zote!+

ב [Behth]

 2 Kwa habari ya wana wa Sayuni wenye thamani,+ waliopimwa uzito kwa kulinganishwa na dhahabu safi,

Lo! jinsi wamehesabiwa kama mitungi mikubwa ya udongo, kazi ya mikono ya mfinyanzi!+

ג [Giʹmel]

 3 Hata mbwa-mwitu wametoa maziwa. Wamenyonyesha watoto wao.

Binti ya watu wangu anakuwa mkatili,+ kama mbuni nyikani.+

ד [Daʹleth]

 4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+

Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+

ה [Heʼ]

 5 Wale waliokuwa wakila vitu vyenye kupendeza wameshikwa na mshangao barabarani.+

Wale waliokuwa wakilelewa katika nguo nyekundu+ wamekumbatia marundo ya majivu.+

ו [Waw]

 6 Adhabu kwa kosa la binti ya watu wangu pia inakuwa kubwa kuliko adhabu kwa kosa la dhambi ya Sodoma,+

Lililoangamizwa kama kwa dakika moja, na ambalo hakuna mikono iliyojitokeza kulisaidia.+

ז [Zaʹyin]

 7 Wanadhiri+ wake walikuwa safi kuliko theluji;+ walikuwa weupe kuliko maziwa.

Kwa kweli walikuwa wekundu+ kuliko marijani; kung’arishwa kwao kulikuwa kama yakuti.+

ח [Chehth]

 8 Sura yao imekuwa nyeusi kuliko weusi wenyewe. Hawakutambuliwa barabarani.+

Ngozi yao imekauka juu ya mifupa yao.+ Imekauka kama mti.

ט [Tehth]

 9 Wale waliouawa kwa upanga+ wamekuwa bora kuliko wale waliouawa kwa njaa,+

Kwa sababu hao hudhoofika, wakichomwa kwa sababu ya ukosefu wa mazao ya shambani.

י [Yohdh]

10 Mikono ya wanawake wenye huruma imetokosa watoto wao wenyewe.+

Wamekuwa kama mkate wa kufariji mtu wakati wa kuvunjika kwa binti ya watu wangu.+

כ [Kaph]

11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+

Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+

ל [Laʹmedh]

12 Wafalme wa dunia na wakaaji wote wa nchi yenye kuzaa hawakuwa wameamini+

Kwamba mpinzani na adui wataingia katika malango ya Yerusalemu.+

מ [Mem]

13 Kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+

Mlikuwa katikati yake wale wanaomwaga damu ya waadilifu.+

נ [Nun]

14 Wametanga-tanga kama vipofu+ barabarani.+ Wamechafuliwa na damu,+

Hivi kwamba hakuna wanaoweza kugusa mavazi yao.+

ס [Saʹmekh]

15 “Ondokeni njiani! Najisi!”+ Wamewapaazia sauti. “Ondokeni njiani! Ondokeni njiani! Msiguse!”+

Kwa maana wamekosa makao.+ Pia wametanga-tanga.+ Watu wamesema kati ya mataifa: “Hawatakaa tena kama wageni.+

פ [Peʼ]

16 Uso wa Yehova umewatawanya.+ Hatawatazama tena.+

Watu hawataonyesha kujali hata kwa walio makuhani.+ Hakika hawatawakubali hata walio wanaume wazee.”+

ע [ʽAʹyin]

17 Tukiwa tungali bado tunaishi, macho yetu huendelea kudhoofika bure kwa kutazamia msaada wetu.+

Wakati wa kutazama kwetu tumetazamia taifa ambalo haliwezi kuleta wokovu.+

צ [Tsa·dhehʹ]

18 Wamewinda hatua zetu+ hivi kwamba hakuna kutembea katika viwanja vyetu vya watu wote.

Mwisho wetu umekaribia. Siku zetu zimetimia, kwa maana mwisho wetu umekuja.+

ק [Qohph]

19 Wenye kutufuatilia wamekuwa wepesi kuliko tai wa mbinguni.+

Wametufuatilia vikali juu ya milima.+ Wametuvizia nyikani.+

ר [Rehsh]

20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu,+ mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+

Yule ambaye tumesema habari zake: “Tutaishi chini ya kivuli+ chake kati ya mataifa.”+

ש [Sin]

21 Furahi na kushangilia,+ Ee binti Edomu,+ wewe unayekaa katika nchi ya Usi.+

Kwako wewe pia kikombe kitapita.+ Utalewa na kujionyesha ukiwa uchi.+

ת [Taw]

22 Kosa lako, Ee binti Sayuni, limefikia mwisho wake.+ Hatakupeleka tena uhamishoni.+

Amegeuza fikira zake kwa kosa lako, Ee binti Edomu. Amefunua dhambi zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki