Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “‘Nanyi msiichafue nchi mliyo ndani yake; kwa sababu damu ndiyo inayoichafua nchi,+ na kwa ajili ya nchi hakuwezi kuwa na upatanisho kuhusu damu ambayo imemwagwa juu yake isipokuwa kwa damu ya yule anayeimwaga.+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Yeremia 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Pia, alama za damu za nafsi+ za maskini wasio na hatia+ zimepatikana katika pindo za nguo zako. Sikuzipata katika tendo la kuvunja na kuingia, lakini ziko juu ya hizo zote.+

  • Ezekieli 33:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Mnaendelea kula pamoja na damu,+ nayo macho yenu mnaendelea kuyainua kuelekea sanamu zenu za mavi,+ nanyi mnaendelea kuimwaga damu.+ Kwa hiyo je, mnapaswa kuimiliki nchi hii?+

  • Hosea 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna mambo ambayo yameenea, kutangaza laana+ na kuzoea kufanya udanganyifu+ na uuaji+ na wizi+ na uzinzi,+ na vitendo vya kumwaga damu vimegusana na vitendo vingine vya kumwaga damu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki