Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+

      Mlikuwa katikati yake wale wanaomwaga damu ya waadilifu.+

  • Hosea 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na kama ilivyo katika kumvizia mtu,+ ushirika wa makuhani ni vikundi vyenye kupora.+ Wao hufanya mauaji katika Shekemu+ kando ya njia, kwa sababu wameendeleza mwenendo mpotovu.+

  • Mathayo 23:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ili ije juu yenu damu yote ya uadilifu iliyomwagwa juu ya dunia,+ tangu damu+ ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua katikati ya patakatifu na madhabahu.+

  • Matendo 7:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua+ wale waliotangaza kimbele kuhusu kuja kwa Aliye mwadilifu,+ ambaye ninyi sasa mmemsaliti na kumuua,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki