9 Na kama ilivyo katika kumvizia mtu,+ ushirika wa makuhani ni vikundi vyenye kupora.+ Wao hufanya mauaji katika Shekemu+ kando ya njia, kwa sababu wameendeleza mwenendo mpotovu.+
35 ili ije juu yenu damu yote ya uadilifu iliyomwagwa juu ya dunia,+ tangu damu+ ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua katikati ya patakatifu na madhabahu.+
52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua+ wale waliotangaza kimbele kuhusu kuja kwa Aliye mwadilifu,+ ambaye ninyi sasa mmemsaliti na kumuua,+