Luka 11:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 ili damu ya manabii+ wote iliyomwagwa tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu ipate kudaiwa kutoka kwa kizazi+ hiki, Luka 11:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 tangu damu ya Abeli+ mpaka damu ya Zekaria,+ aliyeuawa katikati ya madhabahu na ile nyumba.’+ Ndiyo, ninawaambia ninyi, itadaiwa kutoka kwa kizazi hiki. Ufunuo 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu+ ya manabii+ na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa juu ya dunia.”+
50 ili damu ya manabii+ wote iliyomwagwa tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu ipate kudaiwa kutoka kwa kizazi+ hiki,
51 tangu damu ya Abeli+ mpaka damu ya Zekaria,+ aliyeuawa katikati ya madhabahu na ile nyumba.’+ Ndiyo, ninawaambia ninyi, itadaiwa kutoka kwa kizazi hiki.
24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu+ ya manabii+ na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa juu ya dunia.”+