8 Basi ikawa kwamba Yeremia alipokuwa amemaliza kusema yote ambayo Yehova alimwamuru kuwaambia watu wote, ndipo makuhani na manabii na watu wote wakamkamata, wakisema: “Hakika utakufa.+
52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua+ wale waliotangaza kimbele kuhusu kuja kwa Aliye mwadilifu,+ ambaye ninyi sasa mmemsaliti na kumuua,+