3 Kwa maana mikono yenu imetiwa unajisi kwa damu,+ na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu imesema uwongo.+ Ulimi wenu uliendelea kunong’ona ukosefu wa uadilifu.+
9 Je, inawezekana kuwe wizi,+ uuaji+ na uzinzi+ na kuapa kwa uwongo+ na kumfukizia Baali moshi+ wa dhabihu na kuifuata miungu mingine ambayo hamkuijua,+