9 Je, inawezekana kuwe wizi,+ uuaji+ na uzinzi+ na kuapa kwa uwongo+ na kumfukizia Baali moshi+ wa dhabihu na kuifuata miungu mingine ambayo hamkuijua,+
8 “ ‘Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “ ‘Kwa sababu ninyi mmesema mambo yasiyo ya kweli na kuona uwongo, kwa hiyo tazama mimi niko dhidi yenu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”