3 Nawe utauambia udongo wa Israeli, ‘Yehova amesema hivi: “Tazama, niko juu yako,+ nami nitauchomoa upanga wangu katika ala+ yake na kumkatilia mbali kutoka kwako mwadilifu na mwovu.+
28 Nao manabii wake wamewapigia lipu kwa kutumia chokaa,+ wakiona maono yasiyo halisi+ na kuagua uwongo+ kwa ajili yao, na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi,” wakati ambapo Yehova mwenyewe hajasema.