Kumbukumbu la Torati 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+ Yeremia 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Nimesikia yale ambayo manabii wanaotoa unabii wa uwongo katika jina langu+ wamesema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’+ Maombolezo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+
3 usisikilize maneno ya nabii huyo au mwotaji huyo wa ndoto,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawajaribu+ apate kujua ikiwa ninyi mnampenda Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi yenu yote.+
25 “Nimesikia yale ambayo manabii wanaotoa unabii wa uwongo katika jina langu+ wamesema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’+
14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+