Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Tazama, mimi niko dhidi ya manabii wa ndoto za uwongo,” asema Yehova, “wale wanaozisimulia na kuwafanya watu wangu kwenda huku na huku kwa sababu ya uwongo+ wao na kwa sababu ya kujisifu+ kwao.”

      “Lakini mimi mwenyewe sikuwatuma wala kuwaamuru. Kwa hiyo hawatawafaidi watu hawa kwa vyovyote,”+ asema Yehova.

  • Yeremia 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘“‘Nanyi msiwasikilize manabii+ wenu na waaguzi wenu na waota-ndoto+ wenu na watu wenu wenye kufanya uchawi na walozi+ wenu, ambao wanawaambia: “Ninyi hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.”+

  • Mika 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Yehova amesema hivi juu ya manabii ambao wanawapoteza watu wangu,+ ambao wanauma kwa meno yao+ na ambao hupaaza sauti, ‘Amani!’+ ambao, mtu yeyote asipoweka kitu vinywani mwao, pia hutakasa vita juu yake,+

  • Sefania 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Manabii wake walikuwa na dharau, walikuwa watu wenye hila.+ Makuhani wake wamekitia unajisi kilicho kitakatifu; waliitendea sheria jeuri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki