Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana nabii pamoja na kuhani wametiwa unajisi.+ Pia katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata ubaya wao,”+ asema Yehova.

  • Maombolezo 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+

      Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+

      Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+

  • Mathayo 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua.

  • 2 Petro 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, kulikuwa pia na manabii wa uwongo katikati ya wale watu, kama vile pia kutakavyokuwa na walimu wa uwongo katikati yenu.+ Hawa wataingiza ndani kimya-kimya madhehebu yenye kuharibu nao watamkana hata yule bwana aliyewanunua,+ wakijiletea wenyewe maangamizi ya haraka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki