8 Makuhani wenyewe hawakusema, ‘Yehova yuko wapi?’+ Na wale wanaoshughulika na sheria hawakunijua;+ na wachungaji wenyewe walinikosea,+ na hata manabii walitoa unabii kupitia Baali,+ nao wakawafuata wale ambao hawangeweza kuleta faida yoyote.+
31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+
16 Yehova wa majeshi amesema hivi: “Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowatolea ninyi unabii.+ Wanawafanya muwe ubatili.+ Wanasema maono ya moyo wao wenyewe+—si kutoka katika kinywa cha Yehova.+
2 “Mwana wa binadamu, toa unabii kuwahusu manabii wa Israeli wanaotoa unabii,+ nawe utawaambia wale wanaotoa unabii kutoka moyoni mwao wenyewe,+ ‘Sikieni neno la Yehova.+