Yeremia 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Sikuwatuma manabii, ingawa wao wenyewe walikimbia. Sikusema nao, ingawa wao wenyewe walitoa unabii.+ Yeremia 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yeremia nabii akaendelea kumwambia Hanania+ nabii: “Tafadhali, sikiliza, Ee Hanania! Yehova hakukutuma wewe, bali wewe mwenyewe umewafanya watu hawa wautegemee uwongo.+
21 “Sikuwatuma manabii, ingawa wao wenyewe walikimbia. Sikusema nao, ingawa wao wenyewe walitoa unabii.+
15 Na Yeremia nabii akaendelea kumwambia Hanania+ nabii: “Tafadhali, sikiliza, Ee Hanania! Yehova hakukutuma wewe, bali wewe mwenyewe umewafanya watu hawa wautegemee uwongo.+