Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ikiwa nabii+ au mwotaji wa ndoto+ atainuka katikati yenu naye awape ishara au kitu cha ajabu,+

  • Yeremia 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uwongo katika jina langu.+ Mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uwongo na uaguzi na kitu kisicho na thamani+ na udanganyifu wa moyo wao ndiyo mambo wanayowaambia ninyi kwa njia ya unabii.+

  • Yeremia 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Sikuwatuma manabii, ingawa wao wenyewe walikimbia. Sikusema nao, ingawa wao wenyewe walitoa unabii.+

  • Yeremia 27:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Kwa maana mimi sikuwatuma,’ asema Yehova, ‘lakini wanatoa unabii katika jina langu kwa uwongo, kusudi niwatawanye,+ nanyi mwangamie,+ ninyi pamoja na wale manabii wanaowatolea unabii.’”+

  • Yeremia 29:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Tuma ujumbe kwa watu wote waliohamishwa,+ ukisema, ‘Yehova amesema hivi kumhusu Shemaya wa Nehelamu: “Kwa sababu Shemaya amewatolea ninyi unabii, lakini mimi mwenyewe sikumtuma, naye alijaribu kuwafanya mtegemee uwongo,+

  • Ezekieli 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Ole wao manabii wajinga,+ wanaoifuata roho yao wenyewe,+ wakati ambapo hakuna chochote ambacho wameona!+

  • Zekaria 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na itatukia kwamba mtu akitoa unabii tena, baba yake na mama yake, waliomzaa, watamwambia pia, ‘Wewe hutaishi, kwa maana umesema uwongo katika jina la Yehova.’ Na baba yake na mama yake, waliomzaa, watamchoma kwa silaha kwa sababu ametoa unabii.+

  • Luka 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Ole, wakati wowote ule watu wote wanaposema vema juu yenu, kwa maana mambo kama hayo ndiyo ambayo mababu zao waliwafanyia manabii wa uwongo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki