Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na sasa tazama, Yehova ametia roho ya udanganyifu katika vinywa vya hawa manabii wako wote;+ lakini Yehova mwenyewe ametangaza msiba juu yako.”+

  • Yeremia 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wewe, Ee Pashuri, na wakaaji wote wa nyumba yako, mtaenda utekwani;+ nawe utafika Babiloni na huko utakufa na huko wewe utazikwa pamoja na wapenzi wako wote,+ kwa sababu umewatolea unabii wa uwongo.’”+

  • Yeremia 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi kumhusu Ahabu mwana wa Kolaya na kumhusu Sedekia mwana wa Maaseya, ambao wanawatolea ninyi unabii wa uwongo katika jina langu mwenyewe,+ ‘Tazama, nitawatia mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, naye atawapiga na kuwaua mbele ya macho yenu.+

  • Ezekieli 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Ole wao manabii wajinga,+ wanaoifuata roho yao wenyewe,+ wakati ambapo hakuna chochote ambacho wameona!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki