Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 22:2

Marejeo

  • +1Fa 15:24; 2Nya 18:3

1 Wafalme 22:3

Marejeo

  • +Kum 4:43; Yos 20:8; 1Fa 4:13

1 Wafalme 22:4

Marejeo

  • +2Nya 18:2
  • +2Fa 3:7; 2Nya 18:3; Met 13:20; 2Ko 6:14

1 Wafalme 22:5

Marejeo

  • +Hes 27:21; Met 3:6

1 Wafalme 22:6

Marejeo

  • +1Fa 18:19; Mt 15:14
  • +2Nya 18:5; Yer 5:31; 23:30

1 Wafalme 22:7

Marejeo

  • +2Fa 3:11; 2Nya 18:6

1 Wafalme 22:8

Marejeo

  • +1Fa 18:4
  • +1Fa 21:20; 2Nya 36:16; Zb 34:21; Met 9:8
  • +2Nya 18:7; Isa 30:10; Yer 38:4
  • +Met 5:12, 13; Tit 1:13

1 Wafalme 22:9

Marejeo

  • +1Sa 8:16; 2Fa 9:32
  • +2Nya 18:8

1 Wafalme 22:10

Marejeo

  • +Est 6:8; Mt 11:8; Mdo 12:21
  • +2Nya 18:9; Eze 13:2

1 Wafalme 22:11

Marejeo

  • +Kum 18:20; Yer 23:16, 17; Eze 13:6
  • +2Nya 18:10

1 Wafalme 22:12

Marejeo

  • +2Nya 18:11

1 Wafalme 22:13

Marejeo

  • +2Nya 18:12

1 Wafalme 22:14

Marejeo

  • +Kum 6:13; Yer 12:16
  • +Hes 22:35; 2Nya 18:13; Yer 1:7; 23:28; Eze 2:4; 2Pe 1:21

1 Wafalme 22:15

Marejeo

  • +2Nya 18:14

1 Wafalme 22:16

Marejeo

  • +Kum 5:11; 2Nya 18:15

1 Wafalme 22:17

Marejeo

  • +Kum 28:25
  • +Met 10:24; Zek 10:2; 13:7; Mt 9:36
  • +2Nya 18:16; Eze 33:9

1 Wafalme 22:18

Marejeo

  • +2Nya 18:17

1 Wafalme 22:19

Marejeo

  • +2Nya 18:18
  • +Isa 6:1; Eze 1:26; Da 7:9
  • +Ayu 1:6; Da 7:10; Mt 18:10; Ufu 5:11

1 Wafalme 22:20

Marejeo

  • +2Nya 18:19

1 Wafalme 22:21

Marejeo

  • +Zb 104:4; Ebr 1:7, 14
  • +2Nya 18:20

1 Wafalme 22:22

Marejeo

  • +1Fa 22:6
  • +2Th 2:11; 1Yo 4:1
  • +2Nya 18:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi, 4/15/1987, uku. 21

1 Wafalme 22:23

Marejeo

  • +Eze 14:9
  • +Hes 23:19; 1Fa 20:42; 2Nya 18:22; Isa 55:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi, 4/15/1987, uku. 21

1 Wafalme 22:24

Marejeo

  • +1Nya 16:22; Zb 105:15
  • +2Nya 18:23

1 Wafalme 22:25

Marejeo

  • +1Fa 20:30
  • +2Nya 18:24

1 Wafalme 22:26

Marejeo

  • +2Nya 18:25

1 Wafalme 22:27

Marejeo

  • +Ro 9:18
  • +Ebr 11:36
  • +Zb 104:15
  • +2Nya 18:26

1 Wafalme 22:28

Marejeo

  • +Hes 16:29
  • +2Nya 18:27

1 Wafalme 22:29

Marejeo

  • +2Nya 18:28

1 Wafalme 22:30

Marejeo

  • +1Sa 8:20
  • +1Fa 22:10
  • +2Nya 35:22; Met 21:30
  • +2Nya 18:29

1 Wafalme 22:31

Marejeo

  • +1Fa 20:1
  • +2Nya 18:30

1 Wafalme 22:32

Marejeo

  • +2Nya 18:31
  • +Zb 50:15; 91:15; 130:1

1 Wafalme 22:33

Marejeo

  • +2Nya 18:32

1 Wafalme 22:34

Marejeo

  • +2Nya 18:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

1 Wafalme 22:35

Marejeo

  • +1Fa 20:42; 2Nya 18:34
  • +Mwa 9:6

1 Wafalme 22:36

Marejeo

  • +1Fa 22:17

1 Wafalme 22:37

Marejeo

  • +1Fa 16:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 1

1 Wafalme 22:38

Marejeo

  • +1Fa 21:19
  • +Kum 32:35; Zb 119:89; Isa 14:27; 46:10; 48:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni Imani Yao, makala 1

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/2014, uku. 15

1 Wafalme 22:39

Marejeo

  • +1Fa 10:22; Eze 27:15
  • +1Fa 14:19; 16:5, 27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1990, kur. 16-17

    “Kila Andiko,” uku. 149

1 Wafalme 22:40

Marejeo

  • +1Fa 16:28
  • +2Fa 1:2; 2Nya 20:35

1 Wafalme 22:41

Marejeo

  • +1Nya 3:10; 2Nya 17:1; 20:31; Mt 1:8

1 Wafalme 22:43

Marejeo

  • +1Fa 15:11; 2Nya 14:2, 11; 15:8; 17:3; Mhu 12:13
  • +Kum 12:14; 1Fa 14:23; 15:14; 2Fa 12:3; 14:4; 15:4; 18:22; 2Nya 20:33

1 Wafalme 22:44

Marejeo

  • +2Fa 8:18; 2Nya 18:1; 19:2

1 Wafalme 22:45

Marejeo

  • +1Fa 14:29

1 Wafalme 22:46

Marejeo

  • +Law 20:13; Ro 1:27; 1Ko 6:9; 1Ti 1:10; Yud 7
  • +1Fa 15:12

1 Wafalme 22:47

Marejeo

  • +Mwa 36:1, 9
  • +2Sa 8:14; 2Fa 8:20; Zb 108:9

1 Wafalme 22:48

Marejeo

  • +1Fa 10:22; 2Nya 9:21
  • +1Fa 9:26; 2Nya 20:37

1 Wafalme 22:49

Marejeo

  • +Met 1:10; 2Ko 6:14

1 Wafalme 22:50

Marejeo

  • +1Fa 2:10; 2Nya 21:1
  • +1Fa 11:43; 14:31; 15:24
  • +2Fa 8:16; 2Nya 21:5

1 Wafalme 22:51

Marejeo

  • +2Fa 1:2

1 Wafalme 22:52

Marejeo

  • +Kum 28:15
  • +1Fa 16:30; 2Fa 8:27; 2Nya 22:3
  • +1Fa 21:25
  • +1Fa 12:28; 13:33
  • +1Fa 14:9; 2Fa 3:3

1 Wafalme 22:53

Marejeo

  • +Amu 2:11; 1Fa 16:32; 2Fa 1:2
  • +Kut 20:3; 34:14

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 22:21Fa 15:24; 2Nya 18:3
1 Fal. 22:3Kum 4:43; Yos 20:8; 1Fa 4:13
1 Fal. 22:42Nya 18:2
1 Fal. 22:42Fa 3:7; 2Nya 18:3; Met 13:20; 2Ko 6:14
1 Fal. 22:5Hes 27:21; Met 3:6
1 Fal. 22:61Fa 18:19; Mt 15:14
1 Fal. 22:62Nya 18:5; Yer 5:31; 23:30
1 Fal. 22:72Fa 3:11; 2Nya 18:6
1 Fal. 22:81Fa 18:4
1 Fal. 22:81Fa 21:20; 2Nya 36:16; Zb 34:21; Met 9:8
1 Fal. 22:82Nya 18:7; Isa 30:10; Yer 38:4
1 Fal. 22:8Met 5:12, 13; Tit 1:13
1 Fal. 22:91Sa 8:16; 2Fa 9:32
1 Fal. 22:92Nya 18:8
1 Fal. 22:10Est 6:8; Mt 11:8; Mdo 12:21
1 Fal. 22:102Nya 18:9; Eze 13:2
1 Fal. 22:11Kum 18:20; Yer 23:16, 17; Eze 13:6
1 Fal. 22:112Nya 18:10
1 Fal. 22:122Nya 18:11
1 Fal. 22:132Nya 18:12
1 Fal. 22:14Kum 6:13; Yer 12:16
1 Fal. 22:14Hes 22:35; 2Nya 18:13; Yer 1:7; 23:28; Eze 2:4; 2Pe 1:21
1 Fal. 22:152Nya 18:14
1 Fal. 22:16Kum 5:11; 2Nya 18:15
1 Fal. 22:17Kum 28:25
1 Fal. 22:17Met 10:24; Zek 10:2; 13:7; Mt 9:36
1 Fal. 22:172Nya 18:16; Eze 33:9
1 Fal. 22:182Nya 18:17
1 Fal. 22:192Nya 18:18
1 Fal. 22:19Isa 6:1; Eze 1:26; Da 7:9
1 Fal. 22:19Ayu 1:6; Da 7:10; Mt 18:10; Ufu 5:11
1 Fal. 22:202Nya 18:19
1 Fal. 22:21Zb 104:4; Ebr 1:7, 14
1 Fal. 22:212Nya 18:20
1 Fal. 22:221Fa 22:6
1 Fal. 22:222Th 2:11; 1Yo 4:1
1 Fal. 22:222Nya 18:21
1 Fal. 22:23Eze 14:9
1 Fal. 22:23Hes 23:19; 1Fa 20:42; 2Nya 18:22; Isa 55:11
1 Fal. 22:241Nya 16:22; Zb 105:15
1 Fal. 22:242Nya 18:23
1 Fal. 22:251Fa 20:30
1 Fal. 22:252Nya 18:24
1 Fal. 22:262Nya 18:25
1 Fal. 22:27Ro 9:18
1 Fal. 22:27Ebr 11:36
1 Fal. 22:27Zb 104:15
1 Fal. 22:272Nya 18:26
1 Fal. 22:28Hes 16:29
1 Fal. 22:282Nya 18:27
1 Fal. 22:292Nya 18:28
1 Fal. 22:301Sa 8:20
1 Fal. 22:301Fa 22:10
1 Fal. 22:302Nya 35:22; Met 21:30
1 Fal. 22:302Nya 18:29
1 Fal. 22:311Fa 20:1
1 Fal. 22:312Nya 18:30
1 Fal. 22:322Nya 18:31
1 Fal. 22:32Zb 50:15; 91:15; 130:1
1 Fal. 22:332Nya 18:32
1 Fal. 22:342Nya 18:33
1 Fal. 22:351Fa 20:42; 2Nya 18:34
1 Fal. 22:35Mwa 9:6
1 Fal. 22:361Fa 22:17
1 Fal. 22:371Fa 16:28
1 Fal. 22:381Fa 21:19
1 Fal. 22:38Kum 32:35; Zb 119:89; Isa 14:27; 46:10; 48:3
1 Fal. 22:391Fa 10:22; Eze 27:15
1 Fal. 22:391Fa 14:19; 16:5, 27
1 Fal. 22:401Fa 16:28
1 Fal. 22:402Fa 1:2; 2Nya 20:35
1 Fal. 22:411Nya 3:10; 2Nya 17:1; 20:31; Mt 1:8
1 Fal. 22:431Fa 15:11; 2Nya 14:2, 11; 15:8; 17:3; Mhu 12:13
1 Fal. 22:43Kum 12:14; 1Fa 14:23; 15:14; 2Fa 12:3; 14:4; 15:4; 18:22; 2Nya 20:33
1 Fal. 22:442Fa 8:18; 2Nya 18:1; 19:2
1 Fal. 22:451Fa 14:29
1 Fal. 22:46Law 20:13; Ro 1:27; 1Ko 6:9; 1Ti 1:10; Yud 7
1 Fal. 22:461Fa 15:12
1 Fal. 22:47Mwa 36:1, 9
1 Fal. 22:472Sa 8:14; 2Fa 8:20; Zb 108:9
1 Fal. 22:481Fa 10:22; 2Nya 9:21
1 Fal. 22:481Fa 9:26; 2Nya 20:37
1 Fal. 22:49Met 1:10; 2Ko 6:14
1 Fal. 22:501Fa 2:10; 2Nya 21:1
1 Fal. 22:501Fa 11:43; 14:31; 15:24
1 Fal. 22:502Fa 8:16; 2Nya 21:5
1 Fal. 22:512Fa 1:2
1 Fal. 22:52Kum 28:15
1 Fal. 22:521Fa 16:30; 2Fa 8:27; 2Nya 22:3
1 Fal. 22:521Fa 21:25
1 Fal. 22:521Fa 12:28; 13:33
1 Fal. 22:521Fa 14:9; 2Fa 3:3
1 Fal. 22:53Amu 2:11; 1Fa 16:32; 2Fa 1:2
1 Fal. 22:53Kut 20:3; 34:14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 22:1-53

1 Wafalme

22 Na kwa miaka mitatu wakaendelea kuishi bila vita kati ya Siria na Israeli. 2 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tatu, Yehoshafati+ mfalme wa Yuda akashuka, akaenda kwa mfalme wa Israeli. 3 Ndipo mfalme wa Israeli akawaambia watumishi wake: “Je, kweli hamjui kwamba Ramothi-gileadi+ ni jiji letu? Na bado tunasitasita kulichukua kutoka mkononi mwa mfalme wa Siria.” 4 Naye akamwambia Yehoshafati: “Je, utaenda pamoja nami kupigana kule Ramothi-gileadi?”+ Ndipo Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli: “Mimi ni sawa na wewe. Watu wangu ni sawa na watu wako.+ Farasi zangu ni sawa na farasi zako.”

5 Hata hivyo, Yehoshafati akaendelea kumwambia mfalme wa Israeli: “Tafadhali, kwanza kabisa uliza+ neno la Yehova.” 6 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawakusanya manabii pamoja,+ karibu watu mia nne, akawaambia: “Je, niende kupiga vita juu ya Ramothi-gileadi, au nijiepushe?” Nao wakaanza kusema: “Panda uende,+ na Yehova atalitia jiji hilo mkononi mwa mfalme.”

7 Lakini Yehoshafati akasema: “Je, hayupo hapa tena nabii wa Yehova? Basi na tuulize kupitia yeye.”+ 8 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Bado kuna mtu mmoja ambaye tunaweza kumuuliza Yehova kupitia yeye;+ lakini hakika mimi ninamchukia,+ kwa maana yeye hatoi unabii wa mambo mema kunihusu mimi, ila mabaya+—Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mfalme asiseme jambo kama hilo.”+

9 Basi mfalme wa Israeli akamwita ofisa+ fulani wa makao ya mfalme na kusema: “Mlete haraka Mikaya mwana wa Imla.”+ 10 Sasa mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi kila mmoja juu ya kiti chake cha ufalme, wakiwa wamevaa mavazi ya kifalme,+ katika uwanja wa kupuria kwenye mwingilio wa lango la Samaria; na manabii wote walikuwa wakitenda kama manabii mbele yao.+ 11 Ndipo Sedekia mwana wa Kenaana akajitengenezea pembe za chuma na kusema: “Yehova amesema hivi,+ ‘Kwa kutumia hizi utawasukuma Wasiria mpaka uwaangamize.’”+ 12 Na wale manabii wengine wote walikuwa wakitoa unabii kama huo, wakisema: “Panda uende Ramothi-gileadi, upate mafanikio; na Yehova hakika atalitia jiji lile mkononi mwa mfalme.”+

13 Na yule mjumbe aliyeenda kumwita Mikaya akamwambia, akisema: “Tazama, sasa! Maneno ya manabii kwa kauli moja ni mema kwa mfalme. Tafadhali, neno lako na liwe kama neno la mmoja wao, nawe useme mema.”+ 14 Lakini Mikaya akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ lile ambalo Yehova ataniambia, hilo ndilo nitakalosema.”+ 15 Ndipo akaingia kwa mfalme, naye mfalme akamwambia: “Mikaya, je, twende kupiga vita juu ya Ramothi-gileadi, au tujiepushe?” Mara moja akamwambia: “Panda uende na kufanikiwa; na Yehova atalitia mkononi mwa mfalme.”+ 16 Kwa hiyo mfalme akamwambia: “Ninakuapisha mara ngapi kwamba usiniambie jambo lolote ila kweli katika jina la Yehova?”+ 17 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika+ juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana. Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+

18 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Je, sikukuambia, ‘Hatatoa unabii wa mambo mema kunihusu, ila tu mabaya’?”+

19 Naye akaendelea kusema: “Basi sikia neno la Yehova:+ Hakika ninamwona Yehova ameketi juu ya kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni limesimama kando yake, upande wake wa kuume na upande wake wa kushoto.+ 20 Na Yehova akasema, ‘Ni nani atakayemdanganya Ahabu, ili apande kwenda na kuanguka huko Ramothi-gileadi?’ Na huyu akaanza kusema hivi, na yule akasema vile.+ 21 Mwishowe roho+ fulani akaja na kusimama mbele za Yehova, akasema, ‘Mimi nitamdanganya.’ Ndipo Yehova akamwambia, ‘Kwa njia gani?’+ 22 Naye akasema, ‘Nitaenda, nami nitakuwa roho ya udanganyifu katika kinywa cha manabii+ wake wote.’ Kwa hiyo akasema, ‘Utamdanganya, na tena, utashinda.+ Nenda, ukafanye hivyo.’+ 23 Na sasa tazama, Yehova ametia roho ya udanganyifu katika vinywa vya hawa manabii wako wote;+ lakini Yehova mwenyewe ametangaza msiba juu yako.”+

24 Sasa Sedekia mwana wa Kenaana akakaribia, akampiga Mikaya kwenye shavu+ na kusema: “Ni katika njia gani hasa roho ya Yehova ilinipita mimi ikaenda kusema na wewe?”+ 25 Kwa hiyo Mikaya akasema: “Tazama! Utaona ni njia gani siku ile utakapoingia katika chumba cha ndani kabisa+ ili ujifiche.”+ 26 Ndipo mfalme wa Israeli akasema: “Mchukue Mikaya, umrudishe kwa Amoni mkuu wa jiji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.+ 27 Nawe useme, ‘Mfalme amesema hivi:+ “Mtieni mtu huyu katika kizuizi,+ mkamlishe kwa posho iliyopunguzwa ya mkate+ na maji yaliyopunguzwa mpaka nitakapokuja kwa amani.”’”+ 28 Basi Mikaya akasema: “Ukirudi kwa amani kwa vyovyote, Yehova hakusema nami.”+ Naye akaongezea: “Sikieni, enyi watu wote.”+

29 Na mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda wakapanda kwenda mpaka Ramothi-gileadi.+ 30 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Mimi nitajibadili sura na kuingia vitani,+ lakini wewe vaa mavazi yako.”+ Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadili sura,+ akaingia vitani.+ 31 Naye mfalme wa Siria alikuwa amewaamuru wale wakuu 32+ wa magari yake, akisema: “Msipigane na mdogo wala na mkuu, ila na mfalme wa Israeli peke yake.”+ 32 Na ikawa kwamba mara tu wale wakuu wa magari walipomwona Yehoshafati, wakaambiana: “Hakika yeye ndiye mfalme wa Israeli.”+ Basi wakageuka juu yake kupigana; na Yehoshafati akaanza kulia apewe msaada.+ 33 Na ikawa kwamba mara tu wale wakuu wa magari walipoona kwamba yeye hakuwa mfalme wa Israeli, mara moja wakarudi, wakaacha kumfuata.+

34 Na palikuwa na mtu aliyepinda upinde bila kujua, lakini akampiga mfalme wa Israeli katikati ya viungio na vazi la chuma, naye akamwambia mwendesha-gari+ wake: “Geuza mkono wako, uniondoe katika kambi, kwa sababu nimeumizwa vibaya.” 35 Na pigano likazidi kuwa kali siku hiyo, na ikawa lazima kumweka mfalme akiwa amesimama katika gari akiwaelekea Wasiria, na mwishowe akafa+ jioni; na damu ya lile jeraha ikaendelea kumwagika upande wa ndani wa lile gari la vita.+ 36 Na sauti kuu ikaanza kusikika katika kambi karibu na wakati wa kutua kwa jua, ikisema: “Kila mtu aende katika jiji lake, na kila mtu aende katika nchi yake!”+ 37 Basi mfalme akafa. Alipoletwa Samaria, ndipo wakamzika mfalme katika Samaria.+ 38 Nao wakaanza kuliosha lile gari la vita kando ya kidimbwi cha Samaria, na mbwa wakairamba damu yake+ (na makahaba waliogea hapo), kulingana na neno la Yehova alilokuwa amesema.+

39 Na mambo mengine ya Ahabu na yote aliyofanya na ile nyumba ya pembe za tembo+ aliyoijenga na majiji yote aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli? 40 Mwishowe Ahabu akalala pamoja na mababu zake;+ na Ahazia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

41 Naye Yehoshafati+ mwana wa Asa, alianza kutawala juu ya Yuda akiwa mfalme katika mwaka wa nne wa Ahabu mfalme wa Israeli. 42 Yehoshafati alikuwa na umri wa miaka 35 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 25 katika Yerusalemu; na jina la mama yake lilikuwa Azuba binti ya Shilhi. 43 Naye akaendelea kutembea katika njia yote ya Asa baba yake. Hakugeuka kando kutoka katika njia hiyo, kwa kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova.+ Ila tu mahali pa juu hapakuondolewa. Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+ 44 Na Yehoshafati akaendeleza uhusiano wa amani pamoja na mfalme wa Israeli.+ 45 Na mambo mengine ya Yehoshafati na nguvu ambazo alitenda nazo na namna alivyopigana vita, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 46 Naye akaondoa katika nchi wale wanaume makahaba+ waliokuwa wamebaki katika siku za Asa baba yake.+

47 Na katika Edomu+ hapakuwa na mfalme yeyote; msaidizi alikuwa mfalme.+

48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+ 49 Wakati huo ndipo Ahazia mwana wa Ahabu alipomwambia Yehoshafati: “Acha watumishi wangu waende na watumishi wako katika hizo meli,” lakini Yehoshafati hakukubali.+

50 Mwishowe Yehoshafati akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi+ babu yake; na Yehoramu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

51 Naye Ahazia+ mwana wa Ahabu, alikuwa mfalme juu ya Israeli kule Samaria katika mwaka wa kumi na saba wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, naye akaendelea kutawala juu ya Israeli kwa miaka miwili. 52 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, akaendelea kutembea katika njia ya baba yake+ na katika njia ya mama yake+ na katika njia ya Yeroboamu+ mwana wa Nebati, aliyesababisha Israeli kutenda dhambi.+ 53 Naye akaendelea kumtumikia Baali+ na kumwinamia, naye akaendelea kumtia uchungu+ Yehova Mungu wa Israeli, kulingana na yote ambayo baba yake alikuwa amefanya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki