1 Mambo ya Nyakati 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu,+ Abiya+ mwana wake, Asa+ mwana wake, Yehoshafati+ mwana wake, 2 Mambo ya Nyakati 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Yehoshafati+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake na kuimarisha cheo chake juu ya Israeli. 2 Mambo ya Nyakati 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na Yehoshafati+ akaendelea kutawala juu ya Yuda. Alipoanza kutawala alikuwa na umri wa miaka 35, naye akatawala miaka 25 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Azuba+ binti ya Shilhi. Mathayo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Asa akamzaa Yehoshafati;+Yehoshafati akamzaa Yehoramu;+Yehoramu akamzaa Uzia;
10 Na mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu,+ Abiya+ mwana wake, Asa+ mwana wake, Yehoshafati+ mwana wake,
31 Na Yehoshafati+ akaendelea kutawala juu ya Yuda. Alipoanza kutawala alikuwa na umri wa miaka 35, naye akatawala miaka 25 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Azuba+ binti ya Shilhi.