Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu,+ Abiya+ mwana wake, Asa+ mwana wake, Yehoshafati+ mwana wake,

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Yehoshafati+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake na kuimarisha cheo chake juu ya Israeli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na Yehoshafati+ akaendelea kutawala juu ya Yuda. Alipoanza kutawala alikuwa na umri wa miaka 35, naye akatawala miaka 25 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Azuba+ binti ya Shilhi.

  • Mathayo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Asa akamzaa Yehoshafati;+

      Yehoshafati akamzaa Yehoramu;+

      Yehoramu akamzaa Uzia;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki