2 Mambo ya Nyakati 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na Yehoshafati akaendelea kutawala Yuda. Alikuwa na umri wa miaka 35 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 25 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Azuba binti ya Shilhi.+
31 Na Yehoshafati akaendelea kutawala Yuda. Alikuwa na umri wa miaka 35 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 25 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Azuba binti ya Shilhi.+