Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 17:1

Marejeo

  • +1Fa 15:24; 22:41

2 Mambo ya Nyakati 17:2

Marejeo

  • +2Nya 15:8

2 Mambo ya Nyakati 17:3

Marejeo

  • +Yos 1:5; 1Nya 22:18; Zb 46:7; Ro 8:31
  • +2Sa 8:15; 1Fa 11:6; 15:3
  • +1Ko 10:14

2 Mambo ya Nyakati 17:4

Marejeo

  • +Kum 4:29; 2Nya 26:5
  • +Lu 1:6
  • +1Fa 12:28; 13:33

2 Mambo ya Nyakati 17:5

Marejeo

  • +1Fa 9:5; Zb 132:12
  • +1Sa 10:27; 1Fa 10:25
  • +1Fa 10:27; 2Nya 18:1

2 Mambo ya Nyakati 17:6

Marejeo

  • +Zb 18:21; 119:1; Ho. 14:9; Yoh 2:15; Mdo 4:31
  • +1Fa 22:43; 2Nya 20:33
  • +Kum 7:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2009, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 6/15 12

2 Mambo ya Nyakati 17:8

Marejeo

  • +Kum 33:10; Mal 2:7

2 Mambo ya Nyakati 17:9

Marejeo

  • +Law 10:11; Ne 8:7
  • +Kum 31:11; Yos 1:8; 2Ti 3:16

2 Mambo ya Nyakati 17:10

Marejeo

  • +Mwa 35:5; Kum 11:25
  • +Met 16:7

2 Mambo ya Nyakati 17:11

Marejeo

  • +2Nya 17:5
  • +2Sa 8:2
  • +2Nya 9:14
  • +2Fa 3:4

2 Mambo ya Nyakati 17:12

Marejeo

  • +2Nya 18:1
  • +2Nya 14:6
  • +1Fa 9:19; 2Nya 8:4

2 Mambo ya Nyakati 17:13

Marejeo

  • +1Fa 9:22
  • +2Nya 26:12

2 Mambo ya Nyakati 17:14

Marejeo

  • +2Nya 13:3; 14:8

2 Mambo ya Nyakati 17:16

Marejeo

  • +Amu 5:2, 9; Zb 110:3

2 Mambo ya Nyakati 17:17

Marejeo

  • +Mwa 49:27
  • +2Sa 1:21; 2Nya 14:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

2 Mambo ya Nyakati 17:19

Marejeo

  • +2Nya 11:12, 23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 17:11Fa 15:24; 22:41
2 Nya. 17:22Nya 15:8
2 Nya. 17:3Yos 1:5; 1Nya 22:18; Zb 46:7; Ro 8:31
2 Nya. 17:32Sa 8:15; 1Fa 11:6; 15:3
2 Nya. 17:31Ko 10:14
2 Nya. 17:4Kum 4:29; 2Nya 26:5
2 Nya. 17:4Lu 1:6
2 Nya. 17:41Fa 12:28; 13:33
2 Nya. 17:51Fa 9:5; Zb 132:12
2 Nya. 17:51Sa 10:27; 1Fa 10:25
2 Nya. 17:51Fa 10:27; 2Nya 18:1
2 Nya. 17:6Zb 18:21; 119:1; Ho. 14:9; Yoh 2:15; Mdo 4:31
2 Nya. 17:61Fa 22:43; 2Nya 20:33
2 Nya. 17:6Kum 7:5
2 Nya. 17:8Kum 33:10; Mal 2:7
2 Nya. 17:9Law 10:11; Ne 8:7
2 Nya. 17:9Kum 31:11; Yos 1:8; 2Ti 3:16
2 Nya. 17:10Mwa 35:5; Kum 11:25
2 Nya. 17:10Met 16:7
2 Nya. 17:112Nya 17:5
2 Nya. 17:112Sa 8:2
2 Nya. 17:112Nya 9:14
2 Nya. 17:112Fa 3:4
2 Nya. 17:122Nya 18:1
2 Nya. 17:122Nya 14:6
2 Nya. 17:121Fa 9:19; 2Nya 8:4
2 Nya. 17:131Fa 9:22
2 Nya. 17:132Nya 26:12
2 Nya. 17:142Nya 13:3; 14:8
2 Nya. 17:16Amu 5:2, 9; Zb 110:3
2 Nya. 17:17Mwa 49:27
2 Nya. 17:172Sa 1:21; 2Nya 14:8
2 Nya. 17:192Nya 11:12, 23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 17:1-19

2 Mambo ya Nyakati

17 Na Yehoshafati+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake na kuimarisha cheo chake juu ya Israeli. 2 Naye akaweka majeshi katika majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuweka kambi za kijeshi katika nchi ya Yuda na katika majiji ya Efraimu ambayo Asa baba yake alikuwa ameyateka.+ 3 Na Yehova akaendelea kuwa pamoja na Yehoshafati,+ kwa sababu alitembea katika njia za zamani za Daudi babu yake+ wala hakutafuta Mabaali.+ 4 Kwa kuwa alimtafuta Mungu wa baba yake,+ naye akatembea katika amri yake,+ wala si kulingana na matendo ya Israeli.+ 5 Na Yehova akaendelea kuufanya imara ufalme mkononi mwake;+ na Yuda wote wakaendelea kumpa Yehoshafati zawadi,+ naye akawa na utajiri na utukufu mwingi.+ 6 Na moyo wake ukawa jasiri katika njia+ za Yehova, naye akaondoa hata mahali pa juu+ na miti mitakatifu+ katika Yuda.

7 Na katika mwaka wa tatu wa utawala wake akawaita wakuu wake, yaani, Ben-haili na Obadia na Zekaria na Nethaneli na Mikaya, ili wafundishe katika majiji ya Yuda, 8 na pamoja nao Walawi, Shemaya na Nethania na Zebadia na Asaheli na Shemiramothi na Yehonathani na Adoniya na Tobaya na Tob-adoniya Walawi, na pamoja nao Elishama na Yehoramu makuhani.+ 9 Nao wakaanza kufundisha+ katika Yuda, nao walikuwa na kitabu cha sheria ya Yehova;+ nao wakaendelea kuzunguka katika majiji yote ya Yuda na kufundisha kati ya watu.

10 Na hofu+ ya Yehova ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda pande zote, nao hawakupigana vita na Yehoshafati.+ 11 Na kutoka kwa Wafilisti walikuwa wakimletea Yehoshafati zawadi+ na pesa zikiwa ushuru.+ Pia Waarabu+ walikuwa wakimletea makundi, kondoo-dume elfu saba na mia saba na mbuzi-dume elfu saba na mia saba.+

12 Na Yehoshafati akaendelea kusonga na kuwa mkuu zaidi;+ naye akaendelea kujenga ngome+ na majiji ya maghala+ katika Yuda. 13 Naye akawa na shughuli nyingi katika majiji ya Yuda; na mashujaa wa vita,+ wanaume wenye nguvu,+ walikuwa katika Yerusalemu. 14 Na hivi vilikuwa vyeo vyao kulingana na nyumba za mababu zao: Wa Yuda wakuu wa maelfu, Adna mkuu, na mashujaa, wanaume wenye nguvu, 300,000 walikuwa pamoja naye.+ 15 Na Yehohanani mkuu alikuwa chini yake, na watu 280,000 walikuwa pamoja naye. 16 Na Amasia mwana wa Zikri mwenye kujitolea+ kwa Yehova alikuwa chini yake, na mashujaa, wanaume wenye nguvu, 200,000 walikuwa pamoja naye. 17 Na kutoka katika Benyamini+ palikuwa na yule shujaa, mwanamume mwenye nguvu Eliada, na wanaume 200,000 wenye upinde na ngao walikuwa pamoja naye.+ 18 Na Yehozabadi alikuwa chini ya amri yake, na wanaume 180,000 waliotayarishwa kwa ajili ya jeshi walikuwa pamoja naye. 19 Hao ndio waliokuwa wakimhudumia mfalme zaidi ya wale ambao mfalme aliweka katika majiji yenye ngome+ kotekote katika Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki