1 Wafalme 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mimi pia nitakifanya imara kiti cha ufalme wako juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo, kama nilivyomwahidi Daudi baba yako, nikisema, ‘Hakuna mwanamume wa kwako atakayekatiliwa mbali asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.’+ Zaburi 132:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa wana wako watalishika agano langu+Na vikumbusho vyangu ambavyo nitawafundisha,+Wana wao pia milele+Wataketi juu ya kiti chako cha ufalme.”+
5 mimi pia nitakifanya imara kiti cha ufalme wako juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo, kama nilivyomwahidi Daudi baba yako, nikisema, ‘Hakuna mwanamume wa kwako atakayekatiliwa mbali asiketi juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.’+
12 Ikiwa wana wako watalishika agano langu+Na vikumbusho vyangu ambavyo nitawafundisha,+Wana wao pia milele+Wataketi juu ya kiti chako cha ufalme.”+