2 Samweli 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+ 1 Mambo ya Nyakati 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yeye ndiye atakayenijengea nyumba,+ nami hakika nitakifanya imara kiti chake cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 89:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nami hakika nitaweka imara uzao wake milele+Na kiti chake cha ufalme kama siku za mbingu.+
16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+
12 Yeye ndiye atakayenijengea nyumba,+ nami hakika nitakifanya imara kiti chake cha ufalme mpaka wakati usio na kipimo.+