5 Na tazama, ninafikiria kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wangu,+ kama vile Yehova alivyomwahidi Daudi baba yangu, akisema, ‘Mwana wako ambaye nitamweka katika kiti chako cha ufalme mahali pako, yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu.’+