10 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ naye atakuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba+ yake. Nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme+ wake juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.’
6 “Tena akaniambia, ‘Sulemani mwana wako ndiye atakayejenga nyumba yangu+ na nyua zangu; kwa maana nimemchagua yeye kuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba yake.+
“‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mtu+ ambaye jina lake ni Chipukizi.+ Naye atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+