Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 28
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 28:1

Marejeo

  • +Kum 31:28; Yos 23:2
  • +1Nya 27:16
  • +1Nya 27:1
  • +Kut 18:25; 1Sa 8:12
  • +Kum 1:15
  • +1Nya 27:25
  • +1Nya 27:29
  • +2Sa 3:2; 1Nya 3:5
  • +1Sa 8:15
  • +1Nya 11:10

1 Mambo ya Nyakati 28:2

Marejeo

  • +1Fa 8:17; Zb 132:5
  • +Zb 132:7
  • +1Nya 22:3

1 Mambo ya Nyakati 28:3

Marejeo

  • +2Sa 7:13; 1Fa 5:3; 1Nya 17:4
  • +1Nya 22:8

1 Mambo ya Nyakati 28:4

Marejeo

  • +1Sa 16:1
  • +1Sa 16:13; 2Sa 7:8; Zb 89:20
  • +Mwa 49:10; 1Nya 5:2; Zb 60:7
  • +Ru 4:22
  • +1Sa 16:11
  • +1Sa 13:14; 16:12

1 Mambo ya Nyakati 28:5

Marejeo

  • +2Sa 3:2; 1Nya 3:5
  • +1Nya 22:9
  • +1Nya 17:14; 2Nya 1:8

1 Mambo ya Nyakati 28:6

Marejeo

  • +2Sa 7:13
  • +1Nya 17:13
  • +2Sa 7:14

1 Mambo ya Nyakati 28:7

Marejeo

  • +1Nya 17:14; Zb 72:8
  • +1Fa 6:12
  • +Kum 12:1

1 Mambo ya Nyakati 28:8

Marejeo

  • +1Ti 3:15
  • +1Ti 5:21
  • +Kum 6:3

1 Mambo ya Nyakati 28:9

Marejeo

  • +Zb 9:10; Yer 9:24; Ebr 8:11
  • +Kum 10:12
  • +1Fa 8:61; 2Fa 20:3; Zb 101:2
  • +Zb 37:4; 73:25
  • +1Sa 16:7; 1Nya 29:17; Met 17:3; Ufu 2:23
  • +Mwa 6:5; Kum 31:21; Zb 139:2
  • +2Nya 15:2; Mt 7:7; Ebr 11:6; Yak 4:8
  • +2Nya 15:2; Ezr 8:22
  • +Kum 31:17; Zb 73:27; Isa 1:28; Ebr 10:38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 242

    Furahia Maisha Milele!, somo la 58

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/2015, uku. 14

    11/1/2010, uku. 30

    10/15/2008, uku. 7

    2/15/2005, uku. 19

    5/1/1989, uku. 19

    6/1/1986, kur. 15-20

    Amkeni!,

    2/8/1992, kur. 26-27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 11/1 30; w08 10/15 7; w05 2/15 19; cl 242

1 Mambo ya Nyakati 28:10

Marejeo

  • +1Nya 22:16

1 Mambo ya Nyakati 28:11

Marejeo

  • +Ebr 8:5
  • +2Nya 3:4
  • +1Nya 26:24
  • +1Fa 6:5
  • +Law 16:2; 1Fa 6:19

1 Mambo ya Nyakati 28:12

Marejeo

  • +2Sa 23:2; Ebr 8:5
  • +1Fa 6:36; 7:12
  • +1Nya 9:26
  • +1Nya 26:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Mambo ya Nyakati 28:13

Marejeo

  • +1Nya 24:1

1 Mambo ya Nyakati 28:14

Marejeo

  • +1Nya 9:29

1 Mambo ya Nyakati 28:15

Marejeo

  • +2Nya 4:7

1 Mambo ya Nyakati 28:16

Marejeo

  • +2Nya 4:8, 19

1 Mambo ya Nyakati 28:17

Marejeo

  • +2Fa 25:15
  • +1Fa 7:50

1 Mambo ya Nyakati 28:18

Marejeo

  • +1Fa 7:48
  • +Zb 18:10
  • +Kut 25:20; 1Sa 4:4; 1Fa 6:23; Zb 80:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 431

1 Mambo ya Nyakati 28:19

Marejeo

  • +Kut 25:40
  • +1Nya 28:11

1 Mambo ya Nyakati 28:20

Marejeo

  • +Yos 1:6; 2Ko 5:6
  • +Kum 31:6; 1Nya 22:13
  • +Yos 1:9
  • +Kum 31:8; Ro 8:31
  • +Yos 1:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2017, kur. 28-29, 32

1 Mambo ya Nyakati 28:21

Marejeo

  • +1Nya 24:1
  • +1Nya 24:20; 25:1
  • +Kut 35:26; 36:2; Zb 110:3
  • +Kut 36:1
  • +1Nya 22:17; 28:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 28:1Kum 31:28; Yos 23:2
1 Nya. 28:11Nya 27:16
1 Nya. 28:11Nya 27:1
1 Nya. 28:1Kut 18:25; 1Sa 8:12
1 Nya. 28:1Kum 1:15
1 Nya. 28:11Nya 27:25
1 Nya. 28:11Nya 27:29
1 Nya. 28:12Sa 3:2; 1Nya 3:5
1 Nya. 28:11Sa 8:15
1 Nya. 28:11Nya 11:10
1 Nya. 28:21Fa 8:17; Zb 132:5
1 Nya. 28:2Zb 132:7
1 Nya. 28:21Nya 22:3
1 Nya. 28:32Sa 7:13; 1Fa 5:3; 1Nya 17:4
1 Nya. 28:31Nya 22:8
1 Nya. 28:41Sa 16:1
1 Nya. 28:41Sa 16:13; 2Sa 7:8; Zb 89:20
1 Nya. 28:4Mwa 49:10; 1Nya 5:2; Zb 60:7
1 Nya. 28:4Ru 4:22
1 Nya. 28:41Sa 16:11
1 Nya. 28:41Sa 13:14; 16:12
1 Nya. 28:52Sa 3:2; 1Nya 3:5
1 Nya. 28:51Nya 22:9
1 Nya. 28:51Nya 17:14; 2Nya 1:8
1 Nya. 28:62Sa 7:13
1 Nya. 28:61Nya 17:13
1 Nya. 28:62Sa 7:14
1 Nya. 28:71Nya 17:14; Zb 72:8
1 Nya. 28:71Fa 6:12
1 Nya. 28:7Kum 12:1
1 Nya. 28:81Ti 3:15
1 Nya. 28:81Ti 5:21
1 Nya. 28:8Kum 6:3
1 Nya. 28:9Zb 9:10; Yer 9:24; Ebr 8:11
1 Nya. 28:9Kum 10:12
1 Nya. 28:91Fa 8:61; 2Fa 20:3; Zb 101:2
1 Nya. 28:9Zb 37:4; 73:25
1 Nya. 28:91Sa 16:7; 1Nya 29:17; Met 17:3; Ufu 2:23
1 Nya. 28:9Mwa 6:5; Kum 31:21; Zb 139:2
1 Nya. 28:92Nya 15:2; Mt 7:7; Ebr 11:6; Yak 4:8
1 Nya. 28:92Nya 15:2; Ezr 8:22
1 Nya. 28:9Kum 31:17; Zb 73:27; Isa 1:28; Ebr 10:38
1 Nya. 28:101Nya 22:16
1 Nya. 28:11Ebr 8:5
1 Nya. 28:112Nya 3:4
1 Nya. 28:111Nya 26:24
1 Nya. 28:111Fa 6:5
1 Nya. 28:11Law 16:2; 1Fa 6:19
1 Nya. 28:122Sa 23:2; Ebr 8:5
1 Nya. 28:121Fa 6:36; 7:12
1 Nya. 28:121Nya 9:26
1 Nya. 28:121Nya 26:20
1 Nya. 28:131Nya 24:1
1 Nya. 28:141Nya 9:29
1 Nya. 28:152Nya 4:7
1 Nya. 28:162Nya 4:8, 19
1 Nya. 28:172Fa 25:15
1 Nya. 28:171Fa 7:50
1 Nya. 28:181Fa 7:48
1 Nya. 28:18Zb 18:10
1 Nya. 28:18Kut 25:20; 1Sa 4:4; 1Fa 6:23; Zb 80:1
1 Nya. 28:19Kut 25:40
1 Nya. 28:191Nya 28:11
1 Nya. 28:20Yos 1:6; 2Ko 5:6
1 Nya. 28:20Kum 31:6; 1Nya 22:13
1 Nya. 28:20Yos 1:9
1 Nya. 28:20Kum 31:8; Ro 8:31
1 Nya. 28:20Yos 1:5
1 Nya. 28:211Nya 24:1
1 Nya. 28:211Nya 24:20; 25:1
1 Nya. 28:21Kut 35:26; 36:2; Zb 110:3
1 Nya. 28:21Kut 36:1
1 Nya. 28:211Nya 22:17; 28:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 28:1-21

1 Mambo ya Nyakati

28 Na Daudi akakusanya katika Yerusalemu wakuu+ wote wa Israeli, wakuu+ wa makabila na wakuu+ wa migawanyo ya wale wanaomhudumia mfalme na wakuu wa maelfu+ na wakuu wa mamia+ na wakuu wa mali+ zote na mifugo+ ya mfalme na wa wanawe,+ pamoja na maofisa wa makao+ ya mfalme na wanaume wenye nguvu,+ kila mwanamume shujaa, mwenye nguvu. 2 Kisha Daudi mfalme akasimama kwa miguu yake na kusema:

“Nisikilizeni, ndugu zangu na watu wangu. Nilitaka sana moyoni mwangu+ kujenga nyumba ya kupumzika kwa ajili ya sanduku la agano la Yehova na kama kiti cha miguu+ cha Mungu wetu, nami nikawa nimefanya matayarisho ya kujenga.+ 3 Naye Mungu wa kweli akaniambia, ‘Hutajenga nyumba kwa ajili ya jina langu;+ kwa maana wewe ni mtu wa vita, nawe umemwaga damu.’+ 4 Basi Yehova, Mungu wa Israeli, alinichagua mimi kutoka katika nyumba yote ya baba yangu+ niwe mfalme+ juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo; kwa maana alimchagua Yuda awe kiongozi,+ na katika nyumba ya Yuda aliichagua nyumba ya baba yangu,+ na kati ya wana wa baba yangu,+ alinikubali mimi,+ ili kunifanya niwe mfalme juu ya Israeli yote; 5 na kati ya wanangu wote (kwa maana wana ambao Yehova amenipa ni wengi)+ ndipo akamchagua Sulemani+ mwanangu aketi kwenye kiti cha ufalme+ wa Yehova juu ya Israeli.

6 “Tena akaniambia, ‘Sulemani mwana wako ndiye atakayejenga nyumba yangu+ na nyua zangu; kwa maana nimemchagua yeye kuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba yake.+ 7 Nami kwa hakika nitaufanya imara ufalme wake+ mpaka wakati usio na kipimo ikiwa ataazimia kwa nguvu kushika amri+ zangu na maamuzi yangu ya hukumu,+ kama ilivyo leo hii.’ 8 Na sasa, mbele ya macho ya Israeli wote, kutaniko la Yehova,+ na masikioni pa Mungu wetu,+ iweni waangalifu na mtafute amri zote za Yehova, Mungu wenu, ili mpate kuimiliki nchi hii nzuri,+ na mpate kuipitisha kuwa urithi kwa wana wenu baada yenu mpaka wakati usio na kipimo.

9 “Nawe, Sulemani mwanangu, mjue+ Mungu wa baba yako, umtumikie+ kwa moyo kamili+ na kwa nafsi yenye shangwe;+ kwa maana Yehova anaichunguza mioyo yote,+ naye anatambua kila mwelekeo wa fikira.+ Ukimtafuta, ataacha umpate;+ lakini ukimwacha,+ atakutupa mbali milele.+ 10 Ona, sasa, kwa maana Yehova mwenyewe amekuchagua wewe ujenge nyumba iwe patakatifu. Uwe hodari na utende.”+

11 Na Daudi akampa Sulemani mwana wake ramani ya ujenzi+ wa ukumbi+ na ya nyumba zake na ya maghala+ yake na madari+ yake na ya vyumba vyake vya ndani vyenye giza na nyumba ya kifuniko cha upatanisho;+ 12 ile ramani ya ujenzi ya kila kitu aliyoipata kwa kuongozwa na roho+ kwa ajili ya nyua+ za nyumba ya Yehova na ya vyumba vyote vya kulia chakula+ pande zote, ya hazina za nyumba ya Mungu wa kweli na ya hazina za vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu;+ 13 na kwa ajili ya migawanyo+ ya makuhani na ya Walawi na kwa ajili ya kazi zote za utumishi wa nyumba ya Yehova na ya vyombo vyote vya utumishi wa nyumba ya Yehova; 14 ya dhahabu kulingana na uzito, dhahabu kwa ajili ya vyombo vyote vya utumishi mbalimbali, ya vyombo vyote vya fedha kulingana na uzito, ya vyombo+ vyote vya utumishi mbalimbali; 15 na uzito kwa ajili ya vinara vya taa+ vya dhahabu na taa zake za dhahabu, kulingana na uzito wa vinara mbalimbali vya taa na taa zake, na ya vinara vya fedha kulingana na uzito wa kinara cha taa na taa zake kulingana na utumishi wa vinara mbalimbali vya taa; 16 na dhahabu kulingana na uzito kwa ajili ya meza za mkate wa tabaka,+ kwa ajili ya meza mbalimbali, na fedha kwa ajili ya meza za fedha; 17 na nyuma na mabakuli+ na mitungi ya dhahabu safi, na ya mabakuli madogo ya dhahabu+ kulingana na uzito wa mabakuli madogo mbalimbali, na ya mabakuli madogo ya fedha kulingana na uzito wa mabakuli madogo mbalimbali; 18 na kwa madhabahu ya uvumba+ dhahabu safi kulingana na uzito na kwa ajili ya mfano wa gari,+ yaani, wale makerubi+ wa dhahabu kwa ajili ya kutandaza mabawa yao na kusitiri sanduku la agano la Yehova. 19 “Alitoa ufahamu kwa ajili ya kitu hicho chote kwa njia ya maandishi+ kutoka kwa mkono wa Yehova juu yangu, kwa ajili ya kazi zote za ile ramani ya ujenzi.”+

20 Naye Daudi akaendelea kumwambia Sulemani mwana wake: “Uwe hodari+ na mwenye nguvu nawe utende. Usiogope+ wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu, Mungu wangu, yuko pamoja nawe.+ Hatakutupa+ wala kukuacha mpaka itakapomalizika kazi yote ya utumishi wa nyumba ya Yehova. 21 Na tazama, hii ndiyo migawanyo ya makuhani+ na ya Walawi+ kwa ajili ya utumishi wote wa nyumba ya Mungu wa kweli; na kila mtu ambaye ni mwenye kupenda+ na mwenye ustadi kwa ajili ya utumishi+ wote yuko pamoja nawe katika kazi yote, na pia wakuu+ na watu wote, kwa ajili ya maneno yako yote.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki